Kipi bora kati ya hivi?

Kipi bora kati ya hivi?

Kwa experience nimefanyanao kazi
1/ Mchina.
Wapo straight sana na kazi pia mda lazima unzingatiwe.(Mda ni mali) Kwa changamoto hinakuja hupande wetu wa bongo wachache si watu wa kufuata mda ni bola liende, pia si watu wakufuata target za kazi,pia wezetu wanakuja ku investment ukukwetu kwasababu ya cheap labour sas unyonyaji huna anzia juuu (viongozi wetu) mpaka kwa wawekezaji Mchina.
2/Mhindi.na mwalabu
Hawa ni vilevile kama wachina hila Kuna tofauti kidogo hawa wabinafsi,tabia mbovu hasa wanaume kuwa chezea dada zetu,pia mfanyakanzi kubambikiwa kesi kitu Cha kawahida yao hasa Kam una mda mrefu kazini hutafanyiwa nzengwe tuu hili huondoke,.
Note:narudia ni experience yangu nimefanya kazi kwenye viwanda vyao,maduka yao pia nasema bola hufanye kazi mswahili(mangi,mkinga,msukuma) si unawafanyia kazi ngumu mshahara mdogo na hukiwa fanyia nzengwe umehisha like kuhiba jela uwakika hila sisi waswahili hata kama tukinzinguwan huw tunamaliza fresh tuu kama ndugu
Dooooh, hiki kiswahili cha namna gani Mkuu?! 🤔
 
Back
Top Bottom