Mkuu hao wa hindi wanahitaji ulipe angalau 50% ya bei ambayo ni kama 60m kwa hire purchase tena hizo Tata zinalaza 120,000 hadi 150,000 kwa route za Dar manaake utaendesha miaka miwili kumaliza deni Tata hiyo intakua imedepreciate sana, lakini kikubwa zaidi vipuri vya hizo gari nivipya na bei iko juu sana hamna used, utaendesha kwa pressure yeye muhidi hana hasara atakuambia ukate Bima kubwa incase yeye gari lake linarudi......tena mtu mwenye mali ya 120m hawezi kukaa kwenye mlango au usukani stress ninyingi utagonga na pia ma konda na madereva watakupiga vita paka uwachie gari.....unaweza ukafa kabla hujamaliza mkopo huo, jua kila sehemu/kazi inawenyewe acha wazarama waendesha dala dala zao utaumia zaidi tafuta biashara nyingine salama zaidi