Kipi cha kuanza pindi unapopata ajira: Kuoa, nyumba, biashara au gari?

Sasa si inategemea na kazi yenyewe. Kazi nyingine huo mshahar hata hela ya kula mbinde
 
Serious ?

Mafanikio ya sisi Watanzania hasa kundi kubwa la vijana.

Kijinyumba cha vyumba 3-4, kijigari, familia kazi kwisha.

Nafikiri IQ inaamua hivi tulivyo.
Wapo waliofikiri mbali zaidi yako pia hawakufanya lolote hadi wameenda mbele za haki, maisha yana mafumbo mengi sana..

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…