Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Anza na nyumba nyumba nyumba nyumba uwe na kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kapata ajira , Ina maana hajui ramani yake ya maish ipoje, ulitaka tumshaurije tunataka apotee ndio maana tunamwambia, oa, gari , nyumba , biashara uzeenUshauri w kuoa kwanza ni wa kupingwa kwa nguvu zote
🤣🤣🤣biashara uzeeniMtu kapata ajira , Ina maana hajui ramani yake ya maish ipoje, ulitaka tumshaurije tunataka apotee ndio maana tunamwambia, oa, gari , nyumba , biashara uzeen
Sio tu kazi hata ukipata hela, mtiririko ni huu ukiacha msingi mkuu qmbao ni misosi kinachofata ni mavazi, malazi, kisha makazi, usafiri uje mwisho unless bila usafiri kazi inayokuingizia kipato haiendi vyemaKuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.
Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.
Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?
Huu uhalisia ndio hatuutakiKi pdf
1. Nyumba
2. Biashara
3. Mke
Kiuhalisia
1. Mke
2. Nyumba
3. Kujitafuta
ndyo mbna wapo kibao waga wanatusaidia sana ambao hatuna mashambaMtoto kabla ya kuoa hapo unazaa na singo maza?
Wow... Sema tujue na sisiNakupa vile nimexperience mkuu....
Aiseendyo mbna wapo kibao waga wanatusaidia sana ambao hatuna mashamba
Nyumba na baadaye biashara.Kuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.
Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.
Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?
Mkuu kwa tz yetu wewe ni tajiri naomba konekshenKila mtu ana vipaumbele vyake katika Maisha.
Kuna wengine suala la Kuoa sio kipaumbele chao, wengine suala la kujenga sio kipaumbele chao n.k
Binafsi kipaumbele changu cha kwanza ilikuwa familia. Nilipoona nina uhakika wa kumtunza Mke, nilivuta Jiko faster.
Nilipoona wife anapata shida ya daladala na Bajaji wakati wa kuhudhuria Kliniki kipindi cha Ujauzito, nikanunua Usafiri.
Baada ya kuona watoto wameanza kuongezeka na kulazimika kupanga nyumba kubwa, nikalazimika kununua uwanja na kujenga.
Maisha ni yako brother, jitahidi kuwa na machaguo sahihi kwaajili ya kesho yako na Watoto wako
Nikiangalia mtaa naona vijana wengi wakipata ajira/biashara ikimpa kipato cha kwanza ni USAFIRI. Mke anafuata baadae ndio nyumba. Ukisubiri ujenge ndio uoe au ununue gari utasubiri sana na hii mishahara ya kuanzia ya Tz.Chukua chuma wewe acha ujinga. Nyumba zipo nyingi utapanga. Wanawake wapo wengi utapata pakupumzikia.
Experience ni kwamba unakuta mmeoana ila mwanume akawa ana anapitia maisha fulani hivi magumu magumu hakuna maendeleo n.k...sasaaa unaweza oa mwanamke vile tuu ametia mguu home kama mke na mume hapo kwny vyumba vyenu 2...ukashangaaa mara paap umepandishwa cheo..mara paap madili nje nje...mnaanza kujenga mara gari yani kunakuwa na mafanikio ya haraka haraka...halafu mkijenga wote mwanamama pia atakua na uchungu wa kile kitu..hata kama hela hatoi yeye lakini akawa anahusika na kusimamia ujenzi..kuangalia nini tuweke wapi na nini kikae wapi...ndo hiko tuu my kaka...Kalpana ngoja nikuje inbox vile hujasema experience 😄😄
Wako sahihi usafiri ni muhimu sanaNikiangalia mtaa naona vijana wengi wakipata ajira/biashara ikimpa kipato cha kwanza ni USAFIRI. Mke anafuata baadae ndio nyumba. Ukisubiri ujenge ndio uoe au ununue gari utasubiri sana na hii mishahara ya kuanzia ya Tz.
Alitaka kuja inbox lakini😆Experience ni kwamba unakuta mmeoana ila mwanume akawa ana anapitia maisha fulani hivi magumu magumu hakuna maendeleo n.k...sasaaa unaweza oa mwanamke vile tuu ametia mguu home kama mke na mume hapo kwny vyumba vyenu 2...ukashangaaa mara paap umepandishwa cheo..mara paap madili nje nje...mnaanza kujenga mara gari yani kunakuwa na mafanikio ya haraka haraka...halafu mkijenga wote mwanamama pia atakua na uchungu wa kile kitu..hata kama hela hatoi yeye lakini akawa anahusika na kusimamia ujenzi..kuangalia nini tuweke wapi na nini kikae wapi...ndo hiko tuu my kaka...
My Sons Legacy
Vyote inategemea mshahara mtu unalipwa mshahara milioni 100 kwa mwezi kampuni za kuchimba mafuta na gesi uarabun za kimataifai kama EngineerKuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.
Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.
Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?
Okay shukuran shukuran wafundishe vijana masualaExperience ni kwamba unakuta mmeoana ila mwanume akawa ana anapitia maisha fulani hivi magumu magumu hakuna maendeleo n.k...sasaaa unaweza oa mwanamke vile tuu ametia mguu home kama mke na mume hapo kwny vyumba vyenu 2...ukashangaaa mara paap umepandishwa cheo..mara paap madili nje nje...mnaanza kujenga mara gari yani kunakuwa na mafanikio ya haraka haraka...halafu mkijenga wote mwanamama pia atakua na uchungu wa kile kitu..hata kama hela hatoi yeye lakini akawa anahusika na kusimamia ujenzi..kuangalia nini tuweke wapi na nini kikae wapi...ndo hiko tuu my kaka...
My Sons Legacy
Looh! Nisinge endaAlitaka kuja inbox lakini😆