Kipi cha kuanza pindi unapopata ajira: Kuoa, nyumba, biashara au gari?

Kipi cha kuanza pindi unapopata ajira: Kuoa, nyumba, biashara au gari?

Kuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.

Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.

Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?​
Sio tu kazi hata ukipata hela, mtiririko ni huu ukiacha msingi mkuu qmbao ni misosi kinachofata ni mavazi, malazi, kisha makazi, usafiri uje mwisho unless bila usafiri kazi inayokuingizia kipato haiendi vyema

Hapo ndio msingi wa usafiri huja kwanza
 
Kuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.

Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.

Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?​
Nyumba na baadaye biashara.
 
Kila mtu ana vipaumbele vyake katika Maisha.

Kuna wengine suala la Kuoa sio kipaumbele chao, wengine suala la kujenga sio kipaumbele chao n.k

Binafsi kipaumbele changu cha kwanza ilikuwa familia. Nilipoona nina uhakika wa kumtunza Mke, nilivuta Jiko faster.

Nilipoona wife anapata shida ya daladala na Bajaji wakati wa kuhudhuria Kliniki kipindi cha Ujauzito, nikanunua Usafiri.

Baada ya kuona watoto wameanza kuongezeka na kulazimika kupanga nyumba kubwa, nikalazimika kununua uwanja na kujenga.

Maisha ni yako brother, jitahidi kuwa na machaguo sahihi kwaajili ya kesho yako na Watoto wako
Mkuu kwa tz yetu wewe ni tajiri naomba konekshen
 
Chukua chuma wewe acha ujinga. Nyumba zipo nyingi utapanga. Wanawake wapo wengi utapata pakupumzikia.
Nikiangalia mtaa naona vijana wengi wakipata ajira/biashara ikimpa kipato cha kwanza ni USAFIRI. Mke anafuata baadae ndio nyumba. Ukisubiri ujenge ndio uoe au ununue gari utasubiri sana na hii mishahara ya kuanzia ya Tz.
 
Kalpana ngoja nikuje inbox vile hujasema experience 😄😄
Experience ni kwamba unakuta mmeoana ila mwanume akawa ana anapitia maisha fulani hivi magumu magumu hakuna maendeleo n.k...sasaaa unaweza oa mwanamke vile tuu ametia mguu home kama mke na mume hapo kwny vyumba vyenu 2...ukashangaaa mara paap umepandishwa cheo..mara paap madili nje nje...mnaanza kujenga mara gari yani kunakuwa na mafanikio ya haraka haraka...halafu mkijenga wote mwanamama pia atakua na uchungu wa kile kitu..hata kama hela hatoi yeye lakini akawa anahusika na kusimamia ujenzi..kuangalia nini tuweke wapi na nini kikae wapi...ndo hiko tuu my kaka...
My Sons Legacy
 
Experience ni kwamba unakuta mmeoana ila mwanume akawa ana anapitia maisha fulani hivi magumu magumu hakuna maendeleo n.k...sasaaa unaweza oa mwanamke vile tuu ametia mguu home kama mke na mume hapo kwny vyumba vyenu 2...ukashangaaa mara paap umepandishwa cheo..mara paap madili nje nje...mnaanza kujenga mara gari yani kunakuwa na mafanikio ya haraka haraka...halafu mkijenga wote mwanamama pia atakua na uchungu wa kile kitu..hata kama hela hatoi yeye lakini akawa anahusika na kusimamia ujenzi..kuangalia nini tuweke wapi na nini kikae wapi...ndo hiko tuu my kaka...
My Sons Legacy
Alitaka kuja inbox lakini😆
 
Kuoa na kupata familia ni muhimu na umri unakwenda. Gari muhimu linarahisisha usafiri na maisha pia linakupa hadhi fulani.

Nyumba inakupa makazi ila huwa haiishi. Biashara inakupa fedha ya ziada nje ya mshahara hivyo ni rahisi kupata nyumba na gari baada ya biashara.

Ni kipi cha kukipa kipaumbele ukiwa muajiriwa?​
Vyote inategemea mshahara mtu unalipwa mshahara milioni 100 kwa mwezi kampuni za kuchimba mafuta na gesi uarabun za kimataifai kama Engineer

Au wewe unaongelea waanza na mshahara wa laki saba za Tanzania maafisa uajiri serikalini?
 
Experience ni kwamba unakuta mmeoana ila mwanume akawa ana anapitia maisha fulani hivi magumu magumu hakuna maendeleo n.k...sasaaa unaweza oa mwanamke vile tuu ametia mguu home kama mke na mume hapo kwny vyumba vyenu 2...ukashangaaa mara paap umepandishwa cheo..mara paap madili nje nje...mnaanza kujenga mara gari yani kunakuwa na mafanikio ya haraka haraka...halafu mkijenga wote mwanamama pia atakua na uchungu wa kile kitu..hata kama hela hatoi yeye lakini akawa anahusika na kusimamia ujenzi..kuangalia nini tuweke wapi na nini kikae wapi...ndo hiko tuu my kaka...
My Sons Legacy
Okay shukuran shukuran wafundishe vijana masuala
Alitaka kuja inbox lakini😆
Looh! Nisinge enda
 
Back
Top Bottom