BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Unapokuwa na wasiwasi wa kutekwa, kuuliwa, kukamatwa na watu wasiojulikana unapaswa kufanya nini?
1. Kuripoti polisi. Swali ni unaripoti kwa muktadha upi ukiulizwa kipi kinakufanya uwe na mashaka ya kutokewa na kitu kibaya utawaambia Nini kama ushahidi? je nikiwaambia hisia zangu zinaniambia Kuna kitu kibaya kitanitokea wataniamini? Ama wataona ni mental case?
2. Kuwapa taarifa watu wako wa karibu. Hivi kumwambia mzazi kuwa unahisi Kuna kitu kibaya kitakutokea si ni kumsababishia magonjwa ya moyo na stress.
3. Kubadilisha ratiba zako. Je kubadilisha ratiba zako kunaweza kukufanya kuwaepuka hao watu I don't think so kama watu wanalipwa kutokana na kukufuatilia watafanya chochote kukupata tu.
Wakuu No body is safe now
1. Kuripoti polisi. Swali ni unaripoti kwa muktadha upi ukiulizwa kipi kinakufanya uwe na mashaka ya kutokewa na kitu kibaya utawaambia Nini kama ushahidi? je nikiwaambia hisia zangu zinaniambia Kuna kitu kibaya kitanitokea wataniamini? Ama wataona ni mental case?
2. Kuwapa taarifa watu wako wa karibu. Hivi kumwambia mzazi kuwa unahisi Kuna kitu kibaya kitakutokea si ni kumsababishia magonjwa ya moyo na stress.
3. Kubadilisha ratiba zako. Je kubadilisha ratiba zako kunaweza kukufanya kuwaepuka hao watu I don't think so kama watu wanalipwa kutokana na kukufuatilia watafanya chochote kukupata tu.
Wakuu No body is safe now