Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wakati mtu unaomba passport katika idara ya uhamiaji unahitajika kuwa na kitambulisho cha taifa(NIDA) lakini pia unapaswa tena kufuata mchakato ule ule uliotumia kupata kitambulisho cha NIDA, sasa nini maana kuwa na kitambulisho cha Taifa!
Kipi ni kikubwa, kikuu au cha muhimu zaidi kati ya kitambulisho cha taifa na passport ya kusafiria?
Mimi nilifikiri ukishakuwa na kitambulisho cha taifa(NIDA) unapofika uhamiaji kuchukua passport ilikuwa ni kitendo cha kulipia na wao kuchukua tu biometrics zako za alama za vidole(fingerprints) na macho kisha wakuchapishie passport yako hapo hapo. Sielewei kwa nini inahitajika tena kufuata utaratibu ule ule wa kupata NIDA.
Kipi ni kikubwa, kikuu au cha muhimu zaidi kati ya kitambulisho cha taifa na passport ya kusafiria?
Mimi nilifikiri ukishakuwa na kitambulisho cha taifa(NIDA) unapofika uhamiaji kuchukua passport ilikuwa ni kitendo cha kulipia na wao kuchukua tu biometrics zako za alama za vidole(fingerprints) na macho kisha wakuchapishie passport yako hapo hapo. Sielewei kwa nini inahitajika tena kufuata utaratibu ule ule wa kupata NIDA.