Kipi kimekufanya udumu kwenye mahusiano yako mpaka leo?

Kipi kimekufanya udumu kwenye mahusiano yako mpaka leo?

Njia ni rahis tu.

Kwanza ninaamin bila yeye maisha bado yapo,na uzur hakuna mtu anaeweza kunipa raha bila mm nwenyewe kujipa raha,

Pili nimejifunza kupuuza kero ndogo ndogo ambazo ananiletea,
Kuamin kwamba yeye ndio bora kwangu bt sio muhimu sanaaaa
Kuwadharau wanawake wote wanaojirahis ovyo,na kuamin kwamba ili niwe baba na mume bora napaswa kumuheshim nilienae pamoja na kero zake

Tatu,nmemuaminisha kwamba hela sio kila kitu katika maisha,na nmefanikiwa hilo,uzr ni kwamba hawez taka kitu ambacho sina mpango nacho asilan.

Nne-huwa nmemuhakikishia kwamba sitakupiga asilan ila ukiniudhi sana ctakusemesha kwa mwaka mzima na sitakula chakula unachopika asilani kwa kipind chote hicho,

Namuheshim nankumpenda na nipo huru nae 24/7,,namchekesha kila siku ili kuifanya siku yake iwe bora,
Ktk dunia hakuna mtu anaeweza kukupa moyo,so nmemuelewesha kwamba unapaswa kujipa moyo mwenyewe ila nitakuunga mkono kwa kila jambo jema unalofanya.

Tano-hakuna kutegea kupika anae wahi kurud nyumban ndio ataandaa chakula kufuata ratiba,tuliyojiwekea,hakuna kuona kwamba hii sio kazi yangu na hii ni yake,

Sita-nimemfundisha asiingie kwenye mitego ya kutumia pesa bila kupangilia,so hata ulete kitu kizur na uuze rahis kama hakijapangiliwa kununuliwa hakitanunuliwa asilan,anajua codes zote zangu za kadi zote za benk na simu zote,nami najua zake tena zaid yake.

Saba- Tulipanga tusiwe na tv ndani mpka ndoa ifikishe miaka kumi,ili ule muda wa kuangalia tv tuwe tunaongea wote mipango yetu na watoto,tusipoteze muda sana kwa vitu visivyo na faida.

Nane- tumekubaliana kwamba kila tukiongea kuhusu mipango hakuna kushika simu,maana tunaweza kupoteza tunachokusudia kuzungumza,pia lazima tujitoe ssna kwa wengine wenye mahitaj,lazima kwa mwez tukatembelee wagonjwa hosp,laima tuende kuabudu kila jpili na ni marufuku kuingia bar.

Tisa- Nmemwambia marufuku kua na mashoga,aidha aliesoma nao au majiran sababu najua madhaifu ya watto wa kike wakikolea kwa mashoga. Sijawah kumtuhumu ujinga ujinga au ana mahusiano mengine nje sababu tumejifunza kupuuza visivyo na maana. Cz najua ubaya wa kutuhumu sumu yake ikikolea sitamwamini kwa lolote.

Kumi- Namuheshim,namsikiliza, namwombea,namuunga mkono simkatishi tamaa,simjibu vibaya,nampenda na kumjali km navyojijali mimi. Nikinywa soda njian lazima nitachukua take away moja na kuweka kwa beg nitampa akitoka kazin,ndio nilivyojiwekea mm na mke wngu. Na sio kwamba hua hatupishani kauli,bt tunazungumza kwa upole na kumaliza na kujitahid kusahau.
 
Nauza mafyagio!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Njia ni rahis tu.

Kwanza ninaamin bila yeye maisha bado yapo,na uzur hakuna mtu anaeweza kunipa raha bila mm nwenyewe kujipa raha,

Pili nimejifunza kupuuza kero ndogo ndogo ambazo ananiletea,
Kuamin kwamba yeye ndio bora kwangu bt sio muhimu sanaaaa
Kuwadharau wanawake wote wanaojirahis ovyo,na kuamin kwamba ili niwe baba na mume bora napaswa kumuheshim nilienae pamoja na kero zake

Tatu,nmemuaminisha kwamba hela sio kila kitu katika maisha,na nmefanikiwa hilo,uzr ni kwamba hawez taka kitu ambacho sina mpango nacho asilan.

Nne-huwa nmemuhakikishia kwamba sitakupiga asilan ila ukiniudhi sana ctakusemesha kwa mwaka mzima na sitakula chakula unachopika asilani kwa kipind chote hicho,

Namuheshim nankumpenda na nipo huru nae 24/7,,namchekesha kila siku ili kuifanya siku yake iwe bora,
Ktk dunia hakuna mtu anaeweza kukupa moyo,so nmemuelewesha kwamba unapaswa kujipa moyo mwenyewe ila nitakuunga mkono kwa kila jambo jema unalofanya.

Tano-hakuna kutegea kupika anae wahi kurud nyumban ndio ataandaa chakula kufuata ratiba,tuliyojiwekea,hakuna kuona kwamba hii sio kazi yangu na hii ni yake,

Sita-nimemfundisha asiingie kwenye mitego ya kutumia pesa bila kupangilia,so hata ulete kitu kizur na uuze rahis kama hakijapangiliwa kununuliwa hakitanunuliwa asilan,anajua codes zote zangu za kadi zote za benk na simu zote,nami najua zake tena zaid yake.

Saba- Tulipanga tusiwe na tv ndani mpka ndoa ifikishe miaka kumi,ili ule muda wa kuangalia tv tuwe tunaongea wote mipango yetu na watoto,tusipoteze muda sana kwa vitu visivyo na faida.

Nane- tumekubaliana kwamba kila tukiongea kuhusu mipango hakuna kushika simu,maana tunaweza kupoteza tunachokusudia kuzungumza,pia lazima tujitoe ssna kwa wengine wenye mahitaj,lazima kwa mwez tukatembelee wagonjwa hosp,laima tuende kuabudu kila jpili na ni marufuku kuingia bar.

Tisa- Nmemwambia marufuku kua na mashoga,aidha aliesoma nao au majiran sababu najua madhaifu ya watto wa kike wakikolea kwa mashoga. Sijawah kumtuhumu ujinga ujinga au ana mahusiano mengine nje sababu tumejifunza kupuuza visivyo na maana. Cz najua ubaya wa kutuhumu sumu yake ikikolea sitamwamini kwa lolote.

Kumi- Namuheshim,namsikiliza, namwombea,namuunga mkono simkatishi tamaa,simjibu vibaya,nampenda na kumjali km navyojijali mimi. Nikinywa soda njian lazima nitachukua take away moja na kuweka kwa beg nitampa akitoka kazin,ndio nilivyojiwekea mm na mke wngu. Na sio kwamba hua hatupishani kauli,bt tunazungumza kwa upole na kumaliza na kujitahid kusahau.
Naomba Mungu anipe mume kama we lol
 
Back
Top Bottom