Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Kwani upo kwenye mahusiano gani?Uvumilivu, uaminifu, ukweli, ukarimu, huruma, uwazi na mwisho ni KUJITUMAAAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani upo kwenye mahusiano gani?Uvumilivu, uaminifu, ukweli, ukarimu, huruma, uwazi na mwisho ni KUJITUMAAAA
Copy na kupaste mbinu ulioitumia kwa yfMimi domo zito je ntawezaje kutongoza michepuko?
Hahaha nani afe na presha akhuuNjoo tu bado nafas moja tulivyokubalina niongeze mmoja[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Alinibaka nikabakikaCopy na kupaste mbinu ulioitumia kwa yf
Kustahmili na kutumia busara kwenye kila jambo..Ccm oyee!!
Wakuu,tukiwa bado tuko kwenye mchakato wa kulishawishi bunge letu tukufu limuongezee Rais Magufuli Muda ili aweze kutawala milele,ningependa tujadili hili suala.
Eti,kwa upande wa nyie wenzangu,zipi ni siri za nyinyi kuweza kudumu na wenza wenu{mke,mume,mchumba,gal&boyfriend,hawara etc} mpaka dakika hii?
Mi na wewe tumetoka mbali,,,nitakufanya malkia chin ya mbingu na juu ya ardhi,hitajuta maisha yako yte yaliyobaki duniani.[emoji16] [emoji16] [emoji16] ,Hahaha nani afe na presha akhuu
mwanzo umeanza vzr sana ila unaonekana uko week sana kwa wanawake una udhaifu mkubwa sana mkuu uyo binti apo kaongea tuu kawaida ila sidhani kama kamanisha ila ww ushaingiwa na tamaa ya uzinzi dah ila badhi yetu cc wanaume tunazingua sana sametimes mkeo anaonekana anashida sana japo apa unajipamba tuu ww unaonekana unatamaa sana na watoto wa kike lizika na uliye naye mkuu acha tamaa...Mi na wewe tumetoka mbali,,,nitakufanya malkia chin ya mbingu na juu ya ardhi,hitajuta maisha yako yte yaliyobaki duniani.[emoji16] [emoji16] [emoji16] ,
Uzur ni mtani wngu na anajua kwamba ni mtani.mwanzo umeanza vzr sana ila unaonekana uko week sana kwa wanawake una udhaifu mkubwa sana mkuu uyo binti apo kaongea tuu kawaida ila sidhani kama kamanisha ila ww ushaingiwa na tamaa ya uzinzi dah ila badhi yetu cc wanaume tunazingua sana sametimes mkeo anaonekana anashida sana japo apa unajipamba tuu ww unaonekana unatamaa sana na watoto wa kike lizika na uliye naye mkuu acha tamaa...
aaah ok nilikuwa cjuibkumbe ni watu wa matani mzee sory mkuu ckujua...Uzur ni mtani wngu na anajua kwamba ni mtani.
Wala hakuna nilichojipamba,maana binadamu hatuoni vitu jinsi vilivyo bali sisi tulivyo. Nijipambe ili nipate nn mfano,ninaish kwa kanuni nilizozichagua na zinazoniongoza...mwanzo umeanza vzr sana ila unaonekana uko week sana kwa wanawake una udhaifu mkubwa sana mkuu uyo binti apo kaongea tuu kawaida ila sidhani kama kamanisha ila ww ushaingiwa na tamaa ya uzinzi dah ila badhi yetu cc wanaume tunazingua sana sametimes mkeo anaonekana anashida sana japo apa unajipamba tuu ww unaonekana unatamaa sana na watoto wa kike lizika na uliye naye mkuu acha tamaa...
Kila mtu ana Uhuru wakusalimia apendavyoNgoja waje wenye wapenzi wao tupate maujuzi....
afu umeandika mada nzuri ila SALAMU MBAYA
Umemnukuu vibaya mkuu,hyu mtani wangu namfaham vilivyo na wifi yangu namfaham kwa hyo toa shaka hajanitamanimwanzo umeanza vzr sana ila unaonekana uko week sana kwa wanawake una udhaifu mkubwa sana mkuu uyo binti apo kaongea tuu kawaida ila sidhani kama kamanisha ila ww ushaingiwa na tamaa ya uzinzi dah ila badhi yetu cc wanaume tunazingua sana sametimes mkeo anaonekana anashida sana japo apa unajipamba tuu ww unaonekana unatamaa sana na watoto wa kike lizika na uliye naye mkuu acha tamaa...
nilikuwa cjajajua na ndomana nikamwambia samauahani cjukua kama ni watu wa matani...Umemnukuu vibaya mkuu,hyu mtani wangu namfaham vilivyo na wifi yangu namfaham kwa hyo toa shaka hajanitamani
Usijali chiko,pamoja sna,aman tunilikuwa cjajajua na ndomana nikamwambia samauahani cjukua kama ni watu wa matani...
Haina mbaya mkuu usijalinilikuwa cjajajua na ndomana nikamwambia samauahani cjukua kama ni watu wa matani...
Hahaha uko vizuri kama ni kweli...JITUME MAMAUvumilivu, uaminifu, ukweli, ukarimu, huruma, uwazi na mwisho ni KUJITUMAAAA