Kipi kimekufanya udumu kwenye mahusiano yako mpaka leo?

Kipi kimekufanya udumu kwenye mahusiano yako mpaka leo?

Yaan mkuu unashindwa kupika kwa ajil yako na mkeo?? Duuu bas nakubali mm ni bushoke sana,sasa nikirud saa moja jion yy akirud saa mbili nisubiri?? Sawa mazingira ytu ya kazi yy yupo mbali sana tofaut na mm so nisipike kisa mm mume?
 
Yaan mkuu unashindwa kupika kwa ajil yako na mkeo?? Duuu bas nakubali mm ni bushoke sana,sasa nikirud saa moja jion yy akirud saa mbili nisubiri?? Sawa mazingira ytu ya kazi yy yupo mbali sana tofaut na mm so nisipike kisa mm mume?
Be yourself my dear, wengine wanaishi kwenye ndoa ili kuiplease jamii. Kumsaidia mkeo kuna tatizo gani? Washazoea kutreat wake zao kama watumwa wao ndo maana wanakushagaa maana wao walicrame kuwa kupika ni limbwata. Mwaego endelea kudumisha ndoa yako, Ndoa ni yako na mkeo sio yako na jamii. Mnaoenjoy ni nyie, wanaokereka ni wao. Nawapenda wanaume wenye ufahamu, upendo na huruma kama wewe, mzidi kuongezeka tu jamani
 
Mkuu namba tano itakukucost one day.

Namba saba ngumu kumeza
Hujanijua vzr,nina maamuz ambayo hua yanawashangaza weng na ninayaish,hua naanzaga kiunafiki mwisho nakolea kabsa kama tabia,,nikiamin nachoamin kwa manufaa yangu hata watu wote dunian wapingane na mm sitabadilika,nitakisimamia na kukitetea,,huu ni mfano halis kua mambo ya tv nilishatoaga sebulen zaman
6144ae0b32bf721ad1342c7f52f86e9e.jpg
.

Mwanzo ilinitesa lakin leo mwaka wa tano nmezoea,so kipi kigumu kisichouma?
 
Be yourself my dear, wengine wanaishi kwenye ndoa ili kuiplease jamii. Kumsaidia mkeo kuna tatizo gani? Washazoea kutreat wake zao kama watumwa wao ndo maana wanakushagaa maana wao walicrame kuwa kupika ni limbwata. Mwaego endelea kudumisha ndoa yako, Ndoa ni yako na mkeo sio yako na jamii. Mnaoenjoy ni nyie, wanaokereka ni wao. Nawapenda wanaume wenye ufahamu, upendo na huruma kama wewe, mzidi kuongezeka tu jamani
Ameeen heaven Sent
 
Mshikamano kwenye shida na raha...mazuri na mabaya... Kwenye fujo na amani...
Na
Ushirikiano uliyotukuka kwenye mambo ya kikubwa...
Kutokuwa bahili kwa mwenza wako...



Cc: mahondaw

OMG! I like that..

Yeah so many things as you said teh eti kwenye fujo tihtih Wee Smart911 wangu weewwee!!
 
Njia ni rahis tu.

Kwanza ninaamin bila yeye maisha bado yapo,na uzur hakuna mtu anaeweza kunipa raha bila mm nwenyewe kujipa raha,

Pili nimejifunza kupuuza kero ndogo ndogo ambazo ananiletea,
Kuamin kwamba yeye ndio bora kwangu bt sio muhimu sanaaaa
Kuwadharau wanawake wote wanaojirahis ovyo,na kuamin kwamba ili niwe baba na mume bora napaswa kumuheshim nilienae pamoja na kero zake

Tatu,nmemuaminisha kwamba hela sio kila kitu katika maisha,na nmefanikiwa hilo,uzr ni kwamba hawez taka kitu ambacho sina mpango nacho asilan.

Nne-huwa nmemuhakikishia kwamba sitakupiga asilan ila ukiniudhi sana ctakusemesha kwa mwaka mzima na sitakula chakula unachopika asilani kwa kipind chote hicho,

Namuheshim nankumpenda na nipo huru nae 24/7,,namchekesha kila siku ili kuifanya siku yake iwe bora,
Ktk dunia hakuna mtu anaeweza kukupa moyo,so nmemuelewesha kwamba unapaswa kujipa moyo mwenyewe ila nitakuunga mkono kwa kila jambo jema unalofanya.

Tano-hakuna kutegea kupika anae wahi kurud nyumban ndio ataandaa chakula kufuata ratiba,tuliyojiwekea,hakuna kuona kwamba hii sio kazi yangu na hii ni yake,

Sita-nimemfundisha asiingie kwenye mitego ya kutumia pesa bila kupangilia,so hata ulete kitu kizur na uuze rahis kama hakijapangiliwa kununuliwa hakitanunuliwa asilan,anajua codes zote zangu za kadi zote za benk na simu zote,nami najua zake tena zaid yake.

Saba- Tulipanga tusiwe na tv ndani mpka ndoa ifikishe miaka kumi,ili ule muda wa kuangalia tv tuwe tunaongea wote mipango yetu na watoto,tusipoteze muda sana kwa vitu visivyo na faida.

Nane- tumekubaliana kwamba kila tukiongea kuhusu mipango hakuna kushika simu,maana tunaweza kupoteza tunachokusudia kuzungumza,pia lazima tujitoe ssna kwa wengine wenye mahitaj,lazima kwa mwez tukatembelee wagonjwa hosp,laima tuende kuabudu kila jpili na ni marufuku kuingia bar.

Tisa- Nmemwambia marufuku kua na mashoga,aidha aliesoma nao au majiran sababu najua madhaifu ya watto wa kike wakikolea kwa mashoga. Sijawah kumtuhumu ujinga ujinga au ana mahusiano mengine nje sababu tumejifunza kupuuza visivyo na maana. Cz najua ubaya wa kutuhumu sumu yake ikikolea sitamwamini kwa lolote.

Kumi- Namuheshim,namsikiliza, namwombea,namuunga mkono simkatishi tamaa,simjibu vibaya,nampenda na kumjali km navyojijali mimi. Nikinywa soda njian lazima nitachukua take away moja na kuweka kwa beg nitampa akitoka kazin,ndio nilivyojiwekea mm na mke wngu. Na sio kwamba hua hatupishani kauli,bt tunazungumza kwa upole na kumaliza na kujitahid kusahau.
Safi sana
 
Msema kweli mpenzi wa Mungu, mimi sijui hata sababu ni nini! Najiona ni kama Watanzania tunavyoichagua CCM pamoja na mabalaa yake yote
 
Njia ni rahis tu.

Kwanza ninaamin bila yeye maisha bado yapo,na uzur hakuna mtu anaeweza kunipa raha bila mm nwenyewe kujipa raha,

Pili nimejifunza kupuuza kero ndogo ndogo ambazo ananiletea,
Kuamin kwamba yeye ndio bora kwangu bt sio muhimu sanaaaa
Kuwadharau wanawake wote wanaojirahis ovyo,na kuamin kwamba ili niwe baba na mume bora napaswa kumuheshim nilienae pamoja na kero zake

Tatu,nmemuaminisha kwamba hela sio kila kitu katika maisha,na nmefanikiwa hilo,uzr ni kwamba hawez taka kitu ambacho sina mpango nacho asilan.

Nne-huwa nmemuhakikishia kwamba sitakupiga asilan ila ukiniudhi sana ctakusemesha kwa mwaka mzima na sitakula chakula unachopika asilani kwa kipind chote hicho,

Namuheshim nankumpenda na nipo huru nae 24/7,,namchekesha kila siku ili kuifanya siku yake iwe bora,
Ktk dunia hakuna mtu anaeweza kukupa moyo,so nmemuelewesha kwamba unapaswa kujipa moyo mwenyewe ila nitakuunga mkono kwa kila jambo jema unalofanya.

Tano-hakuna kutegea kupika anae wahi kurud nyumban ndio ataandaa chakula kufuata ratiba,tuliyojiwekea,hakuna kuona kwamba hii sio kazi yangu na hii ni yake,

Sita-nimemfundisha asiingie kwenye mitego ya kutumia pesa bila kupangilia,so hata ulete kitu kizur na uuze rahis kama hakijapangiliwa kununuliwa hakitanunuliwa asilan,anajua codes zote zangu za kadi zote za benk na simu zote,nami najua zake tena zaid yake.

Saba- Tulipanga tusiwe na tv ndani mpka ndoa ifikishe miaka kumi,ili ule muda wa kuangalia tv tuwe tunaongea wote mipango yetu na watoto,tusipoteze muda sana kwa vitu visivyo na faida.

Nane- tumekubaliana kwamba kila tukiongea kuhusu mipango hakuna kushika simu,maana tunaweza kupoteza tunachokusudia kuzungumza,pia lazima tujitoe ssna kwa wengine wenye mahitaj,lazima kwa mwez tukatembelee wagonjwa hosp,laima tuende kuabudu kila jpili na ni marufuku kuingia bar.

Tisa- Nmemwambia marufuku kua na mashoga,aidha aliesoma nao au majiran sababu najua madhaifu ya watto wa kike wakikolea kwa mashoga. Sijawah kumtuhumu ujinga ujinga au ana mahusiano mengine nje sababu tumejifunza kupuuza visivyo na maana. Cz najua ubaya wa kutuhumu sumu yake ikikolea sitamwamini kwa lolote.

Kumi- Namuheshim,namsikiliza, namwombea,namuunga mkono simkatishi tamaa,simjibu vibaya,nampenda na kumjali km navyojijali mimi. Nikinywa soda njian lazima nitachukua take away moja na kuweka kwa beg nitampa akitoka kazin,ndio nilivyojiwekea mm na mke wngu. Na sio kwamba hua hatupishani kauli,bt tunazungumza kwa upole na kumaliza na kujitahid kusahau.
Mh!hiyo namba7
 
Mkuu namba tano itakukucost one day.

Namba saba ngumu kumeza

Itatucost wengi maana na mie ukinikuta home napika vibaya sana.

Mbaya zaidi nimeoa mke ambaye namjua vizuri, kazi ya kufua haipendi kama mimi mwenyewe so hata kufua huwa nafua mpaka nguo za mke wangu na wanangu.
 
Ngumu ee??
70386889cc4057d8a2c1ca7414d3e910.jpg
hapana rahis tu ukiamua ndugu,ila yataka moyo vile vile
Jaman ninavyopenda muvi,muziki,kwaya,taarifa za habari na matukio mbali mbali bila kusahau katuni..Daaah!nadhan ningezidi kuwa mwembamba;ila nimependa na kikubwa siku zote ni makubaliano na maelewano
 
Itatucost wengi maana na mie ukinikuta home napika vibaya sana.

Mbaya zaidi nimeoa mke ambaye namjua vizuri, kazi ya kufua haipendi kama mimi mwenyewe so hata kufua huwa nafua mpaka nguo za mke wangu na wanangu.
Unafahamu ubaya wa wanaume walio wengi wanadhani ukimsaidia mke/mchumba wako kufanya shughuli za ndani mojawapo kupika basi mwanamke atakuwa na kiburi la hasha!

Ila mwanamke alie mpumbavu ndo atakuwa na kiburi ila kwa anaejitambua lazima ataheshimu na kupenda kile mwanaume wake anachokifanya.Binafsi napenda sana mume wangu akinipikia yan hicho chakula nakienjoy mnoooooo
 
Jaman ninavyopenda muvi,muziki,kwaya,taarifa za habari na matukio mbali mbali bila kusahau katuni..Daaah!nadhan ningezidi kuwa mwembamba;ila nimependa na kikubwa siku zote ni makubaliano na maelewano
Hata sisi ni wapenz wa movie sana. Ila tumezoea na wala hatuwi bored.. Nikiwa kazin naweza chek movie kwa pc,na yy pia nadhan anachek kwa pc yke kazin. Unajua habar nying tunazipata kwa net,hasa kwenye smartphones,so sijui kipi nitakachoangalia kwa kwel kwa tv kwa sasa. Ilikua ngumu hasa kwa watoto ambao wanakua lakin nmewatengenezea games zao,na catoon zao wanaenjoy tu
 
Hata sisi ni wapenz wa movie sana. Ila tumezoea na wala hatuwi bored.. Nikiwa kazin naweza chek movie kwa pc,na yy pia nadhan anachek kwa pc yke kazin. Unajua habar nying tunazipata kwa net,hasa kwenye smartphones,so sijui kipi nitakachoangalia kwa kwel kwa tv kwa sasa. Ilikua ngumu hasa kwa watoto ambao wanakua lakin nmewatengenezea games zao,na catoon zao wanaenjoy tu
Hapo sawa maana hivi hivi2 ingehitaji maji mengi sana kumeza[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom