Arekebishe na BOT na TRA kwenye akina masamaki wengi mno, akiweza huko hakika ataisaidia Nchi kupiga hatua kimaendeleo kwa kasi kubwa mnoAlifanya pia NIDA kwa muda mfupi. Na mabomu yake yakalipuka🤣🤣🤣😂😂😂😂
Mkuu nakubaliana na wewe. Tuweke personal differences pembeni na tumwangalie Mwambe kama mtu mwenye uthubutu, ari na uweledi unaotakiwa kwa nafasi kama hiyo. Ninamfahamu vizuri huyu mteule wa rais. Wengi wanahoji exposure yake kwa kuangalia nafasi ya ukuu wa Wilaya ila hawasemi kuwa alifanya kazi BoT kama mchumi mwandamizi idara ya international economics kwa zaidi ya miaka kumi, alikuwa mkurugenzi wa uwekezaji Wizara ya Afrika Mashariki kwa zaidi ya miaka mitatu kipindi cha JK na baadae alielekea kwy ubunge 2015. Baada ya kura kutotosha alipewa ukuu wa Wilaya na baadae Mkurugenzi TIC. Alikuwa mkurugenzi wa bodi BoT zaidi ya miaka 3 akiwa kwenye kamati nyeti kama ya sera za uchumi (monetary policy committee) na kamati ya usimamizi wa mabenki. Pia alikuwa mkurugenzi wa bodi ya TRA. Hivi tunataka exposure gani zaidi? Anaelewa vizuri sana changamoto za uchumi na uwekezaji Tanzania. Tumpe nafasi awatumikie WatanzaniaAisee! Kupitia michango humu nimeona kwa kiasi gani JF ina taarifa za uzushi. Nimesoma michango yote nimejiridhisha watu mlivyo wazushi wengi wenu. Namjua huyu bwana in and out. Itoshe kusema tusipende kuongea mambo tusiyoyajua.
Naandika kwa ufupi, mimi si muumini wa utawala huu, ila kwa uteuzi wa huyu bwana kwa nafasi hii ni jambo muafaka. Mwambe ana exposure, visionary na anaweza ku-offer kila kitu kinachohitajika. Ana mapungufu yake kama binadamu na mengine nisingependa niyaandike hapa- maana ni personal - hasa kati ya mimi, yeye na partnership ktk mambo binafsi. Kigezo cha mimi kuwa na tofauti naye si sababu ya kupindisha ukweli kumhusu. Ukweli lazima usemwe.
Atafanya vizuri mkuu. Ni mzoefu katika kuchimbua mabomu na kuyalipuaArekebishe na BOT na TRA kwenye akina masamaki wengi mno, akiweza huko hakika ataisaidia Nchi kupiga hatua kimaendeleo kwa kasi kubwa mno
Kabla ya kuwa DC alikuwa mkurugenzi wizara ya Africa mashariki kipindi Cha JK ,baada wizara kuunganishwa hakuwq na nafasi ya ukurugenzi ndio maana akapelekwa manyoniJe, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!
Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!
Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"
Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!
Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!
Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!
JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!
Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!
UPDATE:
Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!
Utani huu!!
Etwege nadhani ni mental health case. Huwa haelewi hata kinachojadiliwa. Ignore her.
Kama elimu uliyopata imekufanya kuwa mshabiki wa kiwango hiki..basi huko ulikopitia kusoma wamefeli mno, si lengo la elimu kumfanya muelimishwaji awe mshabiki wa mambo bila hata kupima ushabiki wenyewe una substance..Atafanya vizuri mkuu. Ni mzoefu katika kuchimbua mabomu na kuyalipua
Ukiaminiwa kutumikia umma nafasi yoyote inayokupa nafasi ya kufanya maamuzi weka alama basi..ili hata ukitoka hapo alama zitabaki na zitasema wewe ulikuwepo hapo muda fulani..Mwambe amekaa TIC miaka 3 hivi kuna alama gani itakayoonyesha alikuwepo TIC km DG..? maelezo meeengi bila evidence, elimu ya makaratasi haina future kwa sasa, ONYESHA, weka alama kwamba umeelimika na una exposure..nchi hii kila mahali umachinga tu..sisi tukoje lakini, haya mambo ni magumu sana kuyaelewa kupima km mtu anafaa au keeper tu!Mkuu nakubaliana na wewe. Tuweke personal differences pembeni na tumwangalie Mwambe kama mtu mwenye uthubutu, ari na uweledi unaotakiwa kwa nafasi kama hiyo. Ninamfahamu vizuri huyu mteule wa rais. Wengi wanahoji exposure yake kwa kuangalia nafasi ya ukuu wa Wilaya ila hawasemi kuwa alifanya kazi BoT kama mchumi mwandamizi idara ya international economics kwa zaidi ya miaka kumi, alikuwa mkurugenzi wa uwekezaji Wizara ya Afrika Mashariki kwa zaidi ya miaka mitatu kipindi cha JK na baadae alielekea kwy ubunge 2015. Baada ya kura kutotosha alipewa ukuu wa Wilaya na baadae Mkurugenzi TIC. Alikuwa mkurugenzi wa bodi BoT zaidi ya miaka 3 akiwa kwenye kamati nyeti kama ya sera za uchumi (monetary policy committee) na kamati ya usimamizi wa mabenki. Pia alikuwa mkurugenzi wa bodi ya TRA. Hivi tunataka exposure gani zaidi? Anaelewa vizuri sana changamoto za uchumi na uwekezaji Tanzania. Tumpe nafasi awatumikie Watanzania
Xposure kaipata manyoni?Aisee! Kupitia michango humu nimeona kwa kiasi gani JF ina taarifa za uzushi. Nimesoma michango yote nimejiridhisha watu mlivyo wazushi wengi wenu. Namjua huyu bwana in and out. Itoshe kusema tusipende kuongea mambo tusiyoyajua.
Naandika kwa ufupi, mimi si muumini wa utawala huu, ila kwa uteuzi wa huyu bwana kwa nafasi hii ni jambo muafaka. Mwambe ana exposure, visionary na anaweza ku-offer kila kitu kinachohitajika. Ana mapungufu yake kama binadamu na mengine nisingependa niyaandike hapa- maana ni personal - hasa kati ya mimi, yeye na partnership ktk mambo binafsi. Kigezo cha mimi kuwa na tofauti naye si sababu ya kupindisha ukweli kumhusu. Ukweli lazima usemwe.
E
Xposure kaipata manyoni?
Na zaidi amefanya kazi Ujerumani miaka 5 kwenye kampuni kubwa sana, na anazungumza kijerumani. Pia amefanya kazi REPOA kwa ufupi. Amefanya kazi binafasi nyingi na organisation kubwa kama consultant. Watz ifike wakati tuache kujifanya wajuvi kumbe hatuna tulijualo. Ni busara kukaa kimya kwa jambo usilolijua. Uko sahihi!Mkuu nakubaliana na wewe. Tuweke personal differences pembeni na tumwangalie Mwambe kama mtu mwenye uthubutu, ari na uweledi unaotakiwa kwa nafasi kama hiyo. Ninamfahamu vizuri huyu mteule wa rais. Wengi wanahoji exposure yake kwa kuangalia nafasi ya ukuu wa Wilaya ila hawasemi kuwa alifanya kazi BoT kama mchumi mwandamizi idara ya international economics kwa zaidi ya miaka kumi, alikuwa mkurugenzi wa uwekezaji Wizara ya Afrika Mashariki kwa zaidi ya miaka mitatu kipindi cha JK na baadae alielekea kwy ubunge 2015. Baada ya kura kutotosha alipewa ukuu wa Wilaya na baadae Mkurugenzi TIC. Alikuwa mkurugenzi wa bodi BoT zaidi ya miaka 3 akiwa kwenye kamati nyeti kama ya sera za uchumi (monetary policy committee) na kamati ya usimamizi wa mabenki. Pia alikuwa mkurugenzi wa bodi ya TRA. Hivi tunataka exposure gani zaidi? Anaelewa vizuri sana changamoto za uchumi na uwekezaji Tanzania. Tumpe nafasi awatumikie Watanzania
Breathe and relax ndugu. Kisha take your time kuangalia michango yangu ya nyuma humu uone kama unalosema ni la kweli au la. Maana ni rahisi najua sina haja ya kukuelekeza namna ya kutazama kwenye profile yangu. Ukishindwa basi utakua ni sehemu ya watu wavivu kufanya research. Ungelikua mwerevu ungechukua muda wako kuitazama michango yangu kuona kama ni pro-govt au la!Wewe ni muumini wa utawala huu na ni mnufaika wa blackmail zote uonevu mbalimbali kwa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa na wadogo ndiyo maana umejitoa fahamu zote na kuona kila tuhuma za kweli ni uzushi, tofauti zipi kwake? Ukweli ukisemwa wewe unakuwa mnafiki mkubwa
Wewe ni mbumbumbu wa namna serikali inavyofanya kazi.ungeona conclusion niliyokitoa kwamba:-
Sasa kwa akili zako za ki-Lumumba, ni kazi ya waziri hiyo?!
Julieth Kairuki alikuwa Waziri?
Na mwisho nikamalizia:-
Yaani kwa akili yako unaona hiyo hoja ni ya uwaziri hiyo wakati uwaziri wenyewe hajaanza kuutumikia?!
Bure kabisa!!
Unatuuliza sisi au unaniuliza aliemteua?Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Diaspora wapo, yule ndejembi si amekaa nje yule?? Ila Huyu Mwambe na Dorothy Gwajima ni akili kubwaKwa mahitaji ya nchi yanayozingirwa na mabadiliko mengi kidunia hasa katika medani za teknolojia, uchumi na siasa...process ya uteuzi inapaswa ifanyiwe marekebisho, sikweli kabisa kuamini kuwa TISS ndio wanajua kila kitu cha nchi hii na wao wanastahili kudrive process za uteuzi, huko ni kujidanganya, pili, ni vyema sasa wanaopendekezwa uteuzi wapitie usaili wa namna moja au nyingine kuthibitisha uwezo wao, uelewa, elimu, maarifa, tabia, mahusiano na mambo gani mapya kama anayafahamu yanaweza ifaa nchi..tatu, nchi zote zenye mkakati imara wa maendeleo wanatumia sana uwepo wa diaspora kubuni na kuweka mikakati ya maendeleo inayotumia teknolojia na kusaili ushindani wa mataifa kwenye maendeleo uliopo, huwezi kuwa na Baraza la mawaziri 23 halafu hakuna diaspora hata mmoja!!!! tarajia total failure, wapo watanzania wengi wenye uwezo mkubwa sana kushape ajenda yetu ya maendeleo kwa sasa, ishu si kununua ndege, kuuza korosho, kukusanya mapato nk..NOOOO! tusiwe km bado tuko dunia ya mwaka 1980..mambo yale yale, traditions!kwamba kwenye baraza la mawaziri lazima iwepo wizara ya biashara na viwanda..bila hata kujiuliza hapa kwetu biashara tulizo nazo ni za aina gani, kubwa ndio nyingi au za kati na za chini ndio nyingi, viwanda gani tunahitaji na vijengwe wapi na wapi na kwa wakati gani...anyway ngoja tuone, sikutarajia mtu km Profesa Matambalya, mtanzania aliyefanya kazi UNIDO na kusimamia vizuri reform ajenda ya Industrialization kwa nchi za Africa, safari hii tena asiwemo kwenye cabinet kuisadia nchi yetu..nadhani pia nafasi ya chief secretary inahitaji mtu mpana sana na mjuzi mwenye maarifa mengi juu ya dunia ya sasa...sifa ya kuwa ulifanya vizuri ulipokuwa katibu mkuu wizara fulani hivyo unafaa kuwa chief secretary ni dhaifu sana..kwa kiwango kikubwa matokeo ya utendaji wa serikali kwa ujumla yanategemea sana uwezo wa mtu wa nafasi hii...haya mambo ya tumbua teua, tumbua teua ni kielelezo cha udhaifu wa mtu anayeshika nafasi hii..tukiwa wakweli kwa dhamira zetu na mbele ya mwenyezi Mungu km kweli tuna nia ya maendeleo kwa watanzania, nafasi hii inahitaji mtu wa kaliba ya Dr. Slaa..
kila la heri kwa wateuliwa!
Kinachoangaliwa ni undugu, udini, ukanda na ukabilaWakuu amani iwe nanyi,
Jana Mh Rais ameteua Baraza la Mawaziri na miongoni wa Mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa Mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.
Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.
Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.
Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Uongozi ni elimu au uwezo wa mtu?Mbona ukiiangalia Chadema kuna watu Wana elimu kubwa na CV kubwa lakini hawapewi nafasi za Uongozi? Mfano kwenye nafasi za Uenyekiti wa Chama na mbaraza yake ukiiangalia utaona wakina Mbowe na wachaga wenzake wamejazana fuatilia elimu zao hovyo kabisa
Angalia ulivyo mpumbavu usiye na akili wala uelewa hata wa mambo madogo!!Wewe ni mbumbumbu wa namna serikali inavyofanya kazi.
Hoja zako kuhusu uteuzi wa waziri hazina mashiko. Exposure haina umuhimu wowote katika vigezo vya kuteua mawaziri. Mtu yeyote ana historia yake, hata wewe kabla ya kuandika utumbo wako ulikuwa somewhere. Hivyo Mwambe kutokea kwenye udc sio hoja. Nyerere alitokea wapi? Castro alitokea wapi? Abeid Karume alitokea wapi? Wote hao wamefanya mambo makubwa sana kwa maendeleo ya nchi zao.
Alifeli kiajee? Mwambe hadharani alikua anatetea wawekezaji haswa watanzania. Na inawezekana pia alikuwa mwazi KWA mkuu na ndo maana TIC inasimamiwa na ikulu Sasa. Na hapa Tanzania Kuna fitna ajabu,, nadhani Mwambe watu wanamchafua kifitna tu. Angekua hajafanya vizuri pale TIC asingepewa uwaziri wa viwanda. Nina imani kubwa Sana naeGuys... simzungumzii Mwambe kama Waziri, nilikuwa nahoji exposure yake Mkurugenzi wa TIC. Nimeambiwa huko TIC alifeli, ndo nikahoji endapo alikuwa na exposure yoyote kwa sababu Mkurugenzi wa TIC anatarajiwa kuvutia FDI !!!
Ni kutokana na hilo, ndo maana nikamlinganisha na Julieth Kairuki... huyu hakuwa Waziri bali Mkurugenzi wa TIC!
Ukiruhusu akili yako ifikiri zaidi ya hapo utaelewa nilichoandika..Diaspora wapo, yule ndejembi si amekaa nje yule?? Ila Huyu Mwambe na Dorothy Gwajima ni akili kubwa
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mkuu Chige ,huyo sukule achana naye.Angalia ulivyo mpumbavu usiye na akili wala uelewa hata wa mambo madogo!!
Nimekuuliza huyo Julieth Kairuki niliyesema alikuwa ni perfect choice aliteuliwa kuwa waziri?!
Nimekuuliza, suala la kuvutia FDI lipo kwa waziri?
Halafu ulivyo mpumbavu, hadi aya ya mwisho nimezungumzia TIC... sasa TIC ni wizara hadi ung'ang'anie suala la uwaziri?
Unanitajia habari za akina Nyerere wakati suala la TIC sio la uongozi wa kisiasa!!
VERY STUPID!!