Kipi kimemfanya Geofrey Mwambe aliyekuwa Mkurugenzi (Director) wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kuteuliwa kuwa Waziri wa Biashara na Viwanda?

Ingawa kafanya kazi BOT etc ila SIO COMPETENCE kwenye hiyo nafasi... Zamani when yuko BOT alikuwa very close na Bernard Membe.
Ohoooo tunapoteza mjadala,tunajadili mtu badala ya sifa za mtu stahiki kwenye nafasi ya TIC.
Nikipindi kizuri kwa vile nafasi hiyo ipo wazi baada ya huyu kuwa waziri.
Sasa masuala ya CV yake na maisha yake binafsi tusiyape nafasi.
 
Uzuri ujinga wenu umepevuka kiasi kwamba CHADEMA mnailinganisha na nchi na siyo na vyama vyenzake tena. Hii inaonesha CHADEMA imewazidi akili
Jambo hili unishangaza sana, yaani CHADEMA ni chama cha siasa tu tena kisicho madarakani kwa sasa. Lakini hata mambo yanayoihusu serikali na nchi kwa ujumla wanalinganisha na yanayotokea katika chama cha siasa tu. Yaani hawaoni madhara ya kuleta mzaha kwenye masuala makubwa ya nchi wanaangalia chama kimoja cha siasa kinavyoendesha mambo yake.
 
Uzuri ujinga wenu umepevuka kiasi kwamba CHADEMA mnailinganisha na nchi na siyo na vyama vyenzake tena. Hii inaonesha CHADEMA imewazidi akili
Jambo hili unishangaza sana, yaani CHADEMA ni chama cha siasa tu tena kisicho madarakani kwa sasa. Lakini hata mambo yanayoihusu serikali na nchi kwa ujumla wanalinganisha na yanayotokea katika chama cha siasa tu. Yaani hawaoni madhara ya kuleta mzaha kwenye masuala makubwa ya nchi wanaangalia chama kimoja cha siasa kinavyoendesha mambo yake.
 
Of course, kwahiyo hoja yako inathibitisha kweli elimu imeshuka!!

Hivi umeelewa nilichoandika?!

Hivi umezingatia uhusiano wa TIC ambayo inahitaji corporate culture na u-DC wenye asili ya public bureaucracy?

Hivi unaweza kumchukua Bashite akawe DG wa Mamlaka ya Bandari kisa tu alishawahi kuwa DC na RC wa Dar es salaam?!
 
Hujafanya utafiti wako vizuri.. kabla ya kuteuliwa kuwa DC Manyoni Mwambe alikua ofisa mwandamizi (Mkurugenzi) Benki Kuu..
The problem watu mnadhani hoja hapa ni "cheo kidogo/kikubwa au taasisi ndogo/kubwa , uzoefu mdogo/mkubwa!!

Kwavile hiyo hoja yako nimeishaijibu na nisingependa kurudia kile kile, hoja hapa:-
 
Nilishamjibu huyo kitambo lakini hakurudi tena!!

Guys... hapa sizungumzii uzoefu wa kazi bali umefanya kazi wapi na uhusiano wa uzoefu wako na business community kwa sababu nafasi kama TIC ambayo nilimwongelea huyo jamaa, una-interact na watu tofauti na wale ambao uta-interact nao hata kama ungekuwa Gavana wa BoT let alone Mwenyekiti wa Bodi!!

 
And this's what am talking about!!!

Watu wa serikalini wameshazoea urasimu, na urasimu ni sehemu ya ufanyaji kazi serikalini na ndio maana ni jambo la hovyo sana sehemu kama TIC kukwekwa watu wenye uzoefu mkubwa public sector huku wakiwa hawana uzoefu na private sector ambako urasimi si sehemu yake!
 
Ingawa kafanya kazi BOT etc ila SIO COMPETENCE kwenye hiyo nafasi... Zamani when yuko BOT alikuwa very close na Bernard Membe.

Km hii ni kweli, kuna possibility kubwa hta hyo kazi yake ya kwanza ya u afisa kipenyo aliunganishiwa na membe
 
Kwani Mbowe ni kipi kimemfanya awaonee wivu wanawake kuingia viti maalum?
Nahisi mna asili ya uwendawzimu kwenu, kwa comments zako huwa unaonekana huna ufahamu sawawasa hata kidogo. Bora uwe unakaa kimya kuficha upumbavu wako.
 
Nimeelewa ulichoandika, it is good but not quite that good. DC wa Manyoni anasimamia juhudi nyingi wilayani, tangu mifugo hadi shule na misitu. Huyo Mwekezaji wako TIC ataomba hekta 700 za pori Manyoni awekeze ng'ombe wa maziwa: Juliet hakuwahi kuwa mfugaji, anachofahamu yeye ni IRR na Moody's rating. And of course they rubbed shoulders Stellenbosch.

Umeshabikia sana neno "rubbing shoulders with investors". Nikukumbushe Mbunge Lema (naam, Lema huyo huyo) alisema siku moja bungeni kuwa Muwekezaji anakuja na PowerPoint presentation anatoa mada Sheraton, anatoka na hekta 10,000 Sumbawanga walime mahindi. Mr Lema is a shrewed businessman, majizi yanajuana. Hawa ni matapeli, bila experience ya DC Manyoni watakuchezea. Mfano rahisi ni wawekezaji wa tundulissu, si unajua walivyotuibia makanikia? They rub shoulders with fatmakarume all the time sasa wako Belgium, si Kengeja.

Waziri Geoffrey ana combination ya PowerPoint, ya Julieth, na ya DC wa Manyoni. Issue siyo rubbing shoulders, issue ni kuzidiana akili. I would rather have Waziri Geoff at TIC than you or your kind. Halafu kuna mtu kasema kuwa Waziri actually ni mtaalamu wa econometrics? Ulijua hilo?
 
1. connection

2. Hivi anatokwa kanda ipi??
 
Profesa Mwesiga na Mbowe nani mwenye elimu ya nzuri?
 
Kazi nzuri tuu....Ukifanya kazi nzuri utaonekana.
 
Profesa Mwesiga na Mbowe nani mwenye elimu ya nzuri?
Kuna msemo wa Kiingreza, "the fence is always greener on the neighbour's side", yaani wengi hudhani cha jirani ni kizuri kuliko cha kwenu. Yesu alikuja kutukomboa, lakini Yuda Iskarioti alisimuliwa ya kuambiwa hadi akaona tutakombolewa haraka zaidi akiwasikiliza mafarisayo. Kikwete angesema kila akili ya kuambiwa na wewe tia yako.

CV ya huyu mama ni shallow kwa Waziri Geoff, nisikilize.

Enzi ya Community kulikuwa na University campus tatu: kwanza Makerere inafundisha walimu na madaktari; pili Nairobi ikifundisha wahandisi na masorovea, ya 4 UDSM ikifundisha sheria (jaji mkuu wote Kenya ni hapa).

Huyu mama ni sorovea, lakini haionyeshi kabobea wapi usorovea, baadaye tu tunmuona akifanya Development economics, alipataje admission? Gafla bin vuuuu kawa head of manufacturers association, straight out of the blue, she has done no manufacturing anywhere. Atakuwa alikuwa na mtu wake juu, kwa Kenya basically ni ukabila - Waziri Geoff hadi sasa hatujajua ni Msukuma wa wapi, na wala hatujali.

Haya mengine utapata shortcourses IFM au ESAMI au NBAA au Tanganyika Law Society annual dinner. Haionyeshi kama ana uwakilishi wowote wa kura, nasikia Ubunge wa Kenya au Jaji au IGP ni application kama love letter unayoombea ukarani. Ali Nacha.

Huyu mama sasa ni mbobezi kweli, congratulations, lakini kabobea on the fly, hakuumbwa mbombezi, if you see what I mean. Waziri Geoff ana digrii 2 tena za uchumi. Amekuwa DC Manyoni, ameishi na watu, katoa uongozi, kasimamia maendeleo. Between the 2 of them, gimme Waziri Geoff any time.
 
The problem watu mnadhani hoja hapa ni "cheo kidogo/kikubwa au taasisi ndogo/kubwa , uzoefu mdogo/mkubwa!!

Kwavile hiyo hoja yako nimeishaijibu na nisingependa kurudia kile kile, hoja hapa:-
Kiufupi tu Mwambe humjui..

Hoja inayoelezea Mtu kuwa na exposure iko subjective sana. Kwa uzoefu wa Mwambe na elimu yake nashundwa kuelewa ni kwa jinsi gani hana exposure na masuala mtambuka ya viwanda, biashara na uwekezaji?

Ili hoja yako iwe jadidifu, tujadili mafanikio ya kiutendaji ya Angela Kairuki akiwa TIC kwa sababu ana exposure unayoisema hapa. Ni kitu gani tume-miss tangia ameondolewa pale?
 
Nakubaliana na wewe
 
Ingekuwa "Kipi kimefanya....." Badala ya "kimemfanya......" Kateuliwa hakujiteua.
Baraza la mawaziri liliandaliwa hata kabla ya uteuzi wa wagombea! Wengi walishauriwa wagombee ikiwa ni pamoja na wakuu wa mikoa.
 
Kwahiyo Rais ameiga kutoka Chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…