Kipi kimesababisha bei za mafuta kupaa hivi?

Kipi kimesababisha bei za mafuta kupaa hivi?

Jamani vitu vingine sio kuwa ni raisin wenu wanapanga ama nani jamani. Just ask why this or that. In your life please learn to begin with why.

Wakati wa korona mafuta yalishuka mpka minus, yaani ulitakiwa yauzwe chini ya buku kwa hapa kwetu.

Mana price per barrel kwa crude oil ilienda mpaka 1$ even 5$ Ila baadaye yalipanda Sana ,Mana yalipotoka minus yalifunguka yakiwa 18$ opening price katika soko la dunia.

Tokea kipindi icho price imekuwa ikipaa tu yaani ni kupaa tu mpaka saivi ppb unacheza 68.++$ .

Cheki graph uone jamani sio kuongea tu. Ila Africa kila mtu ni mtalaamu wa Kika kitu Mana diwani ama mbunge wa STD 7 anamkagua Engineer ama daktari. No professionalism in Africa.

View attachment 1806242View attachment 1806242asante kwa taaruda muhimu.
 
Acha uongo kadri unavyotoka bandarini ndio bei huongezeka kutokana na gharama za usafiri
Naongea ukweli ..
Nipo boda hapa bodaboda wanavuka ng'ambo kujaza mafuta .
Mafuta upande wa pili kwa wenzetu Ni Bei nafuu.
Dala dala pia
 
Naongea ukweli ..
Nipo boda hapa bodaboda wanavuka ng'ambo kujaza mafuta .
Mafuta upande wa pili kwa wenzetu Ni Bei nafuu.
Dala dala pia
Acha uongo onesha hata picha ya kibao ila najua Huko ni bei mno.
 
We kima kweli [emoji205] kwa hiyo unataka serikali ipunguze kodi? Unataka mama apunguze bei ya mafuta kwenye soko la dunia?

Acha uboya, Kuna vitu vina influence na external factors
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nincho furahia jinsi chadema mnavyotokwa povu mama akikosolewa!

Hili la mafuta bado sana, yatapanda sana tu na tutaelewane tu hapo baadae! Ngoja tuendelee kumdemkia mama
 
Mafuta kupanda bei tutamkumbuka mwendakuzimu, ila mchele kushuka bei hadi kilo 1 per 5OO tutamkumbuka nani?
Huo mchele wa 500 hata ng'ombe wanajifikiria kuula sababu hauna ladha ya mchele inayotakiwa.
 
We jamaa ni msomi, Umekaa Ulaya muda kwani washindwa google kujua bei ya mafuta kipindi cha nyuma na kipindi cha hiyo miezi 3?
Daah nimecheka ulivyojibu Mkuu wasomi wetu kuna shida sana bora hata sisi wakata mkaa yaani hawaumizi ubongo kabisaa...
 
Mtamkumbuka tena kwa yale mazuri tu . Kodi za kusumbua watu akupenda kabisa. Mkulu alishughulika na mashirika kuleta ............... kila bodi walilipo kama uwezi. Ondoka, matajiri kulipa kisawasawa. Leo hii matajiri wanazungumza kwa nyodo
 
Back
Top Bottom