Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
| OPEC Members (Daily Pricing) | Last | Change | % Change |
|---|---|---|---|---|
| MurbanSellBuy | 70.00 | +0.33 | +0.47% | |
| Iran HeavySellBuy | 66.11 | +0.67 | +1.02% | |
| Basra LightSellBuy | 71.17 | +0.99 | +1.41% | |
| Saharan BlendSellBuy | 69.71 | +0.90 | +1.31% | |
| Bonny LightSellBuy | 70.15 | +0.78 | +1.12% | |
| GirassolSellBuy | 70.74 | +0.67 | +0.96% | |
| Arab LightSellBuy | 69.94 | +0.40 | +0.58% | |
| Kuwait Export BlendSellBuy | 70.26 | +0.94 | +1.36% |
Hivi kwa nini Serekali linapokuja swala la manunuzi lazima awepe dalali!? Kwa nini wasiende wenyewe direct kwa mzalishaji Mkuu,wakaa mezani nae!!Kiuhalisia bei ya mafuta kwenye soko la dunia imepanda.
Sasa hivi pipa moja linauzwa $70 wakati wa corona pipa hilohilo lilifika mpaka $15.
Bei itaendelea kupanda mpaka pipa litafika $100.
Na msisahau Tz hamunui kwa mzalishaji moja kwa moja. Ananunua kwa madalali.
Mjiandae.
Mkuu hii ilikuwa wapi? Mwaka gani?Nakumbuka kabla ya corona ilikuwa 2300 kwa lita....kama sasa ni 2,249 tusibiri baada ya mwezi itafika ngapi.
Lakini wanapata dhambi,wakumbuke Mafuta ni Rasilimali ya Dunia nzima,wote tuna haki nayo japo wanatuuzia! Mungu alitoa Rasilimali nyingi sana kwa Wanadaamu,na zingine bado hatujazigundua,lakini zipo,labda new generation nao watakuja gundua Rasilimali mpya za Dunia!!Bei za Mafuta zitapanda kwani wenye Mafuta wameamua kupunguza uzalishaji ili Mafuta ipande.
Acha unafiki mbona hiyo bei ni ya kawaida sanaNimenunua mafuta 2250/L leo .hali ikoje uko kwenu
Wale jamaa wa Kigamboni hawazalishi, ndo maana bei imepanda.
Tumwombe mkuu wa Wilaya awaache jamaa wapige kazi tupate mafuta.
Wengine tunatumia pikipiki kama usafiri, mie natamani nipate hiyo baby walker, siko duniani kuimpress watu wengineNgoja ifike lita moja 3,000 tuheshimiane maanake kuna watu wanadharau sana baby walkers!
Magufuli alipaisha bei ya sukari na mafuta ya kula ambavyo hutumiwa na watu wengi akumbukwe kwa lipi.Huko uliko bei ya mafuta ya petrol ni Tsh ngapi? Hali imeanza kuwa Tete baada ya kupanda Kwa bei ya mafuta. Hali ikiendelea hivi, tutamkumbuka Magufuli mara kumi . Serikali isipo angali Jambo hili tunaelekea kusiko julikana .
Mmmh ngoma bado ngumu ngoja nisubiri selling ya 3000[emoji848]Selling ilikuwa 2310.06
Buying ilikuwa 2287.19
Ha ha haNgoja ifike lita moja 3,000 tuheshimiane maanake kuna watu wanadharau sana baby walkers!
Mafuta kupanda bei tutamkumbuka mwendakuzimu, ila mchele kushuka bei hadi kilo 1 per 5OO tutamkumbuka nani?
Mawazo ya chadema