witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hivoo?Si kweli ! huu ni uongo tuliaminishwa Rwanda na burundi mafuta yapo juu kuliko kwetu..
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivoo?Si kweli ! huu ni uongo tuliaminishwa Rwanda na burundi mafuta yapo juu kuliko kwetu..
Sina uhakika na hizo nchi nyingine, ila kwa hapa kwetu waliijumuisha kwenye mafuta kipindi sio kirefu kilichopita...kabla ya hapo road license ilikuwa separate.Kwani Burundi na Rwanda road license haijajumuishwa humo?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Dollar nayo imeanza kupanda mdogo mdogo
Tulistick kwenye 2309 kwa muda mrefu sana, sasa naona imefika 2310 na kila siku point zinapandaIkifika December $1=Tzs 3,000 Lita moja 3,000
[emoji23][emoji23]Mafuta ya kula pia bei imepanda si mchezo!! Na Ninavopenda kula sasa!!
Itakaa sawa. Ila kwa sisi importers cha moto tunakiona.Tulistick kwenye 2309 kwa muda mrefu sana, sasa naona imefika 2310 na kila siku point zinapanda
Pika chukuchuku mafuta sio mazuri kwa afya yako.Mafuta ya kula pia bei imepanda si mchezo!! Na Ninavopenda kula sasa!!
Kweli kabisa mkuu!Pika chukuchuku mafuta sio mazuri kwa afya yako.
Tunduma/nakondeBoda ipi?
Yameanza kushuka mkuuMafuta ya kula pia bei imepanda si mchezo!! Na Ninavopenda kula sasa!!
Kodi na tozo tulizonazo kwenye mafuta wao hawana.Cha ajabu inasemekana bei za mafuta Burundi na Rwanda zipo chini lakini mafuta yao hupitia hapa hapa bandarini Dar es salam
Hapo bora aisee!Yameanza kushuka mkuu
Lita 5 alizeti pure Elfu 25
Lita 20 laki moja .
Karibu
Hatari hii...Ikifika December $1=Tzs 3,000 Lita moja 3,000
Dollar nayo imeanza kupanda mdogo mdogo
Sure mkuu
Zambia hapo tu bei ni balaa, tatizo la Watz wengi kusoma wanajua ila hawaelewiNa hiyo ni kigali mjini , ukishuka kule chini bugarana na rusizi bei ya mafuta ni kichefu chefu
Wapunguze bei kwani wao ndio wanachimba mafuta?Mawaziri na wabunge Wana vituo vya kuuzia mafuta unategemea atakayetoa hoja ya kupunguza Bei Ni Nani?
Enzi za mwalimu au hata Mwinyi hakukua na waziri mwenye kituo Cha kuuzia mafuta.
Huyu "tumehamuka" Ni dhahir anavyo vituo
Shi ngapi?Acha uongo Kule Burundi Mafuta Bei ni Nafuu kabisa kuliko Tanzania