Kipi kimesababisha bei za mafuta kupaa hivi?

Kipi kimesababisha bei za mafuta kupaa hivi?

Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.

Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?

Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.

Kipindi kile yalipofikia 1780, mbona nauli zilibakia pale pale tu?!!watu walilalamika kuwa mbona nauli hazishuki, wakajibiwa huo ni unafuu wa muda tu, hata sasa hilo ni ongezeko la muda, usijari.
 
Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.

Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?

Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.

Solo huria .

Mama amewwachia watu wapige hela.

Wanyonge hamna chenu tena. Mtalia na kusaga meno.
 
Ikifika December $1=Tzs 3,000 Lita moja 3,000
Hata shilingi ya Kenya tulichezea kwenye 20 na point kadhaa. Sasahivi imeshagota kwenye 1TZS = 21 point something KES. Nilitaka kununua kitu kwa 32,000KES ni sawa na 693,000 TZS hapo majuzi
 
Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.

Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?

Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.

Wabunge si waliliongelea jana hili; wanasema ile kampuni yetu ya kunua mafuta kwa wingi, kila ikitangaza tenda, kampuni zinazojitokeza ku-bid ni mbili tu. Hata wao wanashangaa; kwa nini kampuni mbili tu ndio zinajitokeza ku-bid; na sio zaidi?
 
Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.

Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?

Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.

Huku ni 2254 leo asubuhi
 
Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.

Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?

Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.

Labda baada ya wale waliokuwa wananyonya mafuta baada ya flow meter kugundulika!
 
Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.

Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?

Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.

Bei za Mafuta zitapanda kwani wenye Mafuta wameamua kupunguza uzalishaji ili Mafuta ipande.
 
Hivi wajua Tz haichimbi mafuta wala haina umiliki wa US Dollar?
Unataka kusemaje sasa?.

Kwamba ndo Maana Mafuta yanapanda kiholela?

Utakuwa hujui bei huko duniani Kati ya Feb na June.
 
Bei ya mafuta imepanda soko dunia leo ni 68,67 usd
 
Back
Top Bottom