Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stock yao ikiisha,wakiagiza mapya lazimacwatapandisha bei hii issue ni ya kimataifa siyo hapa tu.Cha ajabu inasemekana bei za mafuta Burundi na Rwanda zipo chini lakini mafuta yao hupitia hapa hapa bandarini Dar es salam
Haitaishia kwenye gari yako au ya jirani yako,gari ni zaidi ya mchepuko
Wizi wa mafuta Kigamboni maana bei hutegemea gharama za manunuzi ikilinganishwa na kiasi cha mafuta yaliyopoWakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.
Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?
Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabak nashangaa kumbe bei zishapaa.
Usidanganywe na story za mitaani....Cha ajabu inasemekana bei za mafuta Burundi na Rwanda zipo chini lakini mafuta yao hupitia hapa hapa bandarini Dar es salam
Si kweli ! huu ni uongo tuliaminishwa Rwanda na burundi mafuta yapo juu kuliko kwetu..Cha ajabu inasemekana bei za mafuta Burundi na Rwanda zipo chini lakini mafuta yao hupitia hapa hapa bandarini Dar es salam
Acha uongo Kule Burundi Mafuta Bei ni Nafuu kabisa kuliko TanzaniaUsidanganywe na story za mitaani....
Waulize hao Warwanda uone kama hawanunui kwa 3000
Hii trend ni hatari aiseeBei Ya Mafuta Imekua balaa Kabisa...
Pamoja na makodi kibao , mafuta yetu bado ni rahisi kuliko rwanda.Bei ya mafuta ya kwetu imebeba kodi kibao, hata road license iko humo humo.
Ndio maana bei iko juu tofauti na hao wenzetu.
Nipe rate ya jana dear?Dollar nayo imeanza kupanda mdogo mdogo
Na hiyo ni kigali mjini , ukishuka kule chini bugarana na rusizi bei ya mafuta ni kichefu chefuUsidanganywe na story za mitaani....
Waulize hao Warwanda uone kama hawanunui kwa 3000
Hii ni exchange rate inaenda sambamba na ltr ya mafuta?Ikifika December $1=Tzs 3,000 Lita moja 3,000
Nime-specukate tu hamna uhalisia.Hii ni exchange rate inaenda sambamba na ltr ya mafuta?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tena Kwa Muda mfupi sana Mafuta yanapanda Bei sana sasa sijui ni Nini kinatokea...Hii trend ni hatari aisee
Kwani Burundi na Rwanda road license haijajumuishwa humo?Bei ya mafuta ya kwetu imebeba kodi kibao, hata road license iko humo humo.
Ndio maana bei iko juu tofauti na hao wenzetu.