Battor
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 1,964
- 3,496
Mkuu kumbuka nia ya mtu ndio imebeba mema au uovu. Naweza kufanya jambo ukaliona halikuumizi ukaliona ni jema lakini nimelenga nikumalize.Najiuliza kwa mukstakabari wa Afya ya Jamii na Amani kipi kinatakiwa kiwe Kipimo cha Matendo ya Wanajamii kuyafanya Imani yao inavyowatuma (bila kuangalia matokeo) au Matokeo (yaani wanachofanya kuhakikisha hakiumizi yoyote) hata kama kinaendana tofauti na Imani yao ?
Hata Kama Imani hio ni ya wengi je inamaanisha hata wale wachache wanaobaki waumie ili hao wengi waridhishe Mungu / Imani yao ?
After all Kama Simba Wawili na Binadamu mmoja wakisema wapige Kura ya Chakula cha Kula, Binadamu lazima ndio atakuwa Kitoweo....
Itaanza imani ila itategemea kama hiyo imani imejengwa juu ya upendo.