Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Maana naona vijana wengi wamekuwa walevi wa vilevi mbali mbali kama bangi, mirungi, pombe shisha na nk.
Tatizo ni nini?
Tatizo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana helaMaana naona vijana wengi wamekuwa walevi wa vilevi mbali mbali bangi,mirungi sijui pombe shisha na nk
Tatizo nini?
Kujiendekeza tuMaana naona vijana wengi wamekuwa walevi wa vilevi mbali mbali kama bangi, mirungi, pombe shisha na nk.
Tatizo ni nini?
Kila mtu na furaha yake aliyoichagua, wengine huwaambii kitu kuhusu Pepsi, wengine Maji ya kunywa, wengine wanapenda kukimbiakimbia kama mbwa, wengine wanapenda kudinywa na kudinya, wengine wanapenda kulala lala muda wote, wengine wanapenda mziki tu, wengine wanapenda kusali sali muda wote kila mtu na furaha yake aliyoichagua kumbuka kufa kupo palepale inategemea Mungu kakufumbia fimbo gani la kifo chako, ukikwepa ukimwi unakufa kwa ajali au COVID 19 au sukari au BP au kiharusi au kansa au unapotea n.kMaana naona vijana wengi wamekuwa walevi wa vilevi mbali mbali kama bangi, mirungi, pombe shisha na nk.
Tatizo ni nini?