Kipi ni bora? Tv za mtumba (kutoka zanzibari) au tv mpya ya dukani?

Kipi ni bora? Tv za mtumba (kutoka zanzibari) au tv mpya ya dukani?

Zanzibar ilikuwa zamani,kwa sasa hawana vitu used vya maana, na tv walizo nazo nyingi ni plasma, flat za zamani na kama ni za kisasa mara nyingi zinakuja mbovu ziankuja kutengenezwa na mafundi kishwa unawekewa dukani. pia ukumbuke ftat screen tv zina run kwa masaa, muda wa masaa uliowekwa ukiisha inazima na ndio inakuwa imekufa hivyo,ni kama kioo cha projector tu.hivyo huwezi kujua lige span yake imebaki muda gani, mbona 230 unapata ya "32'' mpya?
 
Ninayo Samsung smart inch 40 nilinunua dukani kariakoo ina miaka 7 sasa haimjui fundi.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Ila pale kariakoo usiingie duka lolote ingia maduka yale makubwa ya wahindi utanishukuru. Vitu vya kununua mtumba ni deki. Nina deki ninayo nilinunua mtumba mwaka 2008 hadi leo ipo freessh

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Acha kumdanganya mwenzio ndugu yangu anauza hizo tv ulizozisifia hapa ila anadai zote ni sawa tu kuna anaenunua hizo Samsung akatumia miezi mitatu habari ikaisha na kuna anaenunua hizo oulling akakaa nayo zaidi ya miaka 4
Mimi nilinunua LG inch 32 mwaka 2015, mpaka leo 2023 (7 years) ipo na inadunda kama kawa.

Dada yangu alinunua LG flat screen enzi zile ndio zinaingia ingia 2011, mpaka leo 2023 (11 years) ipo inadunda kama kawaida

Pili, huwezi kucompare quality ya picture ya LG/Samsung na hizo takataka za mchina ambazo hata majina hayaeleweki.
 
Mimi nilinunua LG inch 32 mwaka 2015, mpaka leo 2023 (7 years) ipo na inadunda kama kawa.

Pili, huwezi kucompare quality ya picture ya LG/Samsung na hizo takataka za mchina ambazo hata majina hayaeleweki.
Kwahiyo picha za lg,sony,samsung,panasonic zinafanana quality?
 
Kwahiyo picha za lg,sony,samsung,panasonic zinafanana quality?

Kwenye suala la picture quality, Inategemeana na resolution ya hiyo LG/Sony/Samsung, either ni 480p, 1080p(HD), 4k au 8k etc...

Na inategemea pia na technology ya kioo iliyotumia, either ni LCD, LED, Nanocell, Qled, OLED etc

Tv zina variable nyingi sana ambazo wengi ya watumiaji hawazijui.
 
Kwahiyo picha za lg,sony,samsung,panasonic zinafanana quality?
Inategemeana na resolution ya hiyo LG/Sony/Samsung, either ni 480p, 1080p(HD), 4k au 8k etc...

Na inategemea pia na technology ya kioo iliyotumia, either ni LCD, LED, Nanocell, Qled, OLED etc

Tv zina variable nyingi sana ambazo wengi ya watumiaji hawazijui.
 
Sony Bravia mwaka wa 13 huu
Bosch fridge la urithi lina miaka 24 halimjui fundi
Sony radio ya urithi miaka 17 halimjui fundi ila changamoto ipo kwenye ulaji wa umeme yana kula umeme balaa
 
Vifaa vya mtumba kama tv, music systems zipo nzuri tu kikubwa ujue Ku point au Uwe Na uhusiano mzuri Na muuzaji maana wao wanavijua vizur hivyo vifaa Ila ukisema uingie kichwa kichwa utakuwa una bet.

Zanzibar Kuna Jamaa wanauza mitumba wenyewe wanaita NO TEST yaan unauliza Bei unabeba ukikuta kibaya au kizur Ni juu yako.
 
Inategemeana na resolution ya hiyo LG/Sony/Samsung, either ni 480p, 1080p(HD), 4k au 8k etc...

Na inategemea pia na technology ya kioo iliyotumia, either ni LCD, LED, Nanocell, Qled, OLED etc

Tv zina variable nyingi sana ambazo wengi ya watumiaji hawazijui.
Haujajibu nimekuuliza hizo aina za tv hizo picha zake zinafanana?
 
Back
Top Bottom