Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Pona kwanza na ukubali umekosea ndio uanze upya si ufanye kwa kukomesheaUpo sahihi nina majeraha,njoo uniponye mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pona kwanza na ukubali umekosea ndio uanze upya si ufanye kwa kukomesheaUpo sahihi nina majeraha,njoo uniponye mrembo
Kwahiyo kwako wewe unachagua ndoa kuliko useja? Mimi Kwangu kuwa mseja ni maisha yaliyo bora sana Kwangu.Kikubwa tafuta kujua ni nini mapenzi ya Mungu kwako. Muombe Mungu akufunulie ni kwanini alikuleta duniani., maana hakuna mtu aliyejileta nwenyewe duniani. Tumekuja duniani kwa mapenzi ya Mungu, hivyo hatuna budi kutafuta kuyajua ili tuyaishi.
Ndoa ni kitu kizuri kwa kuwa ni Mungu mwenyewe aliyeanzisha ndoa pale kwenye bustani ya Edeni., Adui shetani ndiye aliyekuja kuharibu taasisi hii nyeti na kufanya ndoa ionekane kuwa kitu kisichofaa.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Kwa hiyo unashauri nini kupitia hizo hadithi za kwenye kitabu cha Biblia ?🤔Mathayo 19 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁰ Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
¹¹ Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
¹² Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.
Ili nipone wewe pekee ndio wa kuniponesha😋pona kwanza na ukubali umekosea ndo uanze upya sii ufanye kwa kukomeshrea
KaribuIli nipone wewe pekee ndio wa kuniponesha😋
Pia hata huo pia ni useja Kuna useja wa kidini na mwengine wa maamuzi ya mtu binafsiNilifikiria useja ni kuishi bila kufanya mapenzi kama watawa wa kikatoloki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja PM, ahsanteee😍karibu
Useja wanaita celibacy Ni Hali ya kuacha kufanya mapenzi au kuacha kufungashia ndoaNilifikiria useja ni kuishi bila kufanya mapenzi kama watawa wa kikatoloki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ndoa zinakupita kushoto, ni nyie mna masharti magumu. Kila mwanamke anayetafuta mume anataka wa kuanzia Miaka 35, in reality Mwanaume wa umri huo kumpata Ni nadra sababu karibu wote wapo kwenye ndoaUseja unachosha jumlisha upweke.
Hapa tu nishachoka upweke sasa sijui kukaa maisha yote kiseja kama nitaweza.
Mi nishajua tu kukaa kiseja siwezi ila ndio hivo sasa bahati mbaya ndoa zinanipitia kushoto.
Dunia nzima fuateni ushauri huuTafuta mdada mpole zaa nae alafu iba mtoto kamlee, mama yake mtafutie kibiashara au kama ana pesa mteme.
Ukishapata mtoto tafta single mother kama wawili wenye maisha, anzisha urafiki kwa ajili ya shoo tu. usiponenepa nitafute unifunge.
Kwani Mungu alifanya nini pale Eden?*USEJA - hii ni ile hali ya mtu kuishi bila ndoa.
Swali: Kwa dunia ya Sasa na maisha ya sasa yalivyo kipi ni bora kuishi maisha ya useja au kukubali kuoa/kuolewa?
- Kwangu Mimi maisha yaliyo bora ni kuishi kwenye useja.
- Vipi kwenu nyie wanajamii majibu yenu ni yapi [ useja au kuoa/kuolewa ].
*USEJA - hii ni ile hali ya mtu kuishi bila ndoa.
Swali: Kwa dunia ya Sasa na maisha ya sasa yalivyo kipi ni bora kuishi maisha ya useja au kukubali kuoa/kuolewa?
- Kwangu Mimi maisha yaliyo bora ni kuishi kwenye useja.
- Vipi kwenu nyie wanajamii majibu yenu ni yapi [ useja au kuoa/kuolewa ].
Kwa hio ni bora mara 1000 useja
Tuwe waseja tu 🤣Ishi uwezavyo