Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Kwa miaka 10 iliyopita kumekuwa na vipaji vingi ambavyo vimekuja na kutesa katika soka letu la dunia ya leo.
Kwa mtazamo wako wewe ukiwa kama mdau wa soka ni wachezaji gani bora zaidi ambao wanatengeneza first eleven yako kwa miaka 10 iliyopita.
Kwangu mimi kikosi changu bora ni hiki,
Mfumo ni 4-3-3 ambapo kuna;
Iker Casillas
Lahm, Vidic, Ramos, Ashley Cole
Xavi, Schweinsteiger, Iniesta
Messi, Ronaldo, Thiery Henry.
Karibu mdau tutajie kikosi chako pia.
Kwa mtazamo wako wewe ukiwa kama mdau wa soka ni wachezaji gani bora zaidi ambao wanatengeneza first eleven yako kwa miaka 10 iliyopita.
Kwangu mimi kikosi changu bora ni hiki,
Mfumo ni 4-3-3 ambapo kuna;
Iker Casillas
Lahm, Vidic, Ramos, Ashley Cole
Xavi, Schweinsteiger, Iniesta
Messi, Ronaldo, Thiery Henry.
Karibu mdau tutajie kikosi chako pia.