Kipi ni Kikosi Chako Bora Kwa Miaka 10 Iliyopita

Kipi ni Kikosi Chako Bora Kwa Miaka 10 Iliyopita

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Kwa miaka 10 iliyopita kumekuwa na vipaji vingi ambavyo vimekuja na kutesa katika soka letu la dunia ya leo.

Kwa mtazamo wako wewe ukiwa kama mdau wa soka ni wachezaji gani bora zaidi ambao wanatengeneza first eleven yako kwa miaka 10 iliyopita.

Kwangu mimi kikosi changu bora ni hiki,
Mfumo ni 4-3-3 ambapo kuna;
Iker Casillas
Lahm, Vidic, Ramos, Ashley Cole
Xavi, Schweinsteiger, Iniesta
Messi, Ronaldo, Thiery Henry.

Karibu mdau tutajie kikosi chako pia.
 
4-3-2-1

1-van de sar
2-maicon
3-lizarazu
4-vidic
5-terry
6-viera
7-beckham
8-zidane
9-ronaldo luis de lima
10-gaucho
11-lion messi.
 
Kikosi changu ni wachezaji wooote waliocheza vizuri katika miaka 10 iliyopita. Haya mambo ya kutengeneza vikosi bora sasa imekuwa non sense! Kama kweli unafuatilia mpira na sio shabiki maandazi huwezi kuwa na listi ya wachezaji bora 11 TU katika miaka 10 iliyopita.
 
4-3-2-1

1-van de sar
2-maicon
3-lizarazu
4-vidic
5-terry
6-viera
7-beckham
8-zidane
9-ronaldo luis de lima
10-gaucho
11-lion messi.

Kikosi chako ni kizuri ila sijakuelewa yafuatayo
1.kumuweka maicon badala ya lahm au cafu
2.lizarazu badala ya Paulo maldin au Robert Carlos
3.Beckham badala ya CR7,figo au pirlo
 
1.juma k juma
2.salum kanoni
3.paulo maldin
4.tiago silva
5.boniface pawasa
6.athuman idd'chuji'
7.cr 7
8.frank domayo
9.emanuel okwi'mwsho morogoro'
10.zinedine zidane
11.leo messi
Hiko kikosi changu bora
 
4-3-2-1

1-van de sar
2-maicon
3-lizarazu
4-vidic
5-terry
6-viera
7-beckham
8-zidane
9-ronaldo luis de lima
10-gaucho
11-lion messi.

Miaka 10 iliyopita Ronaldo de Lima alikuwa anacheza bado?
 
Kikosi chako ni kizuri ila sijakuelewa yafuatayo
1.kumuweka maicon badala ya lahm au cafu
2.lizarazu badala ya Paulo maldin au Robert Carlos
3.Beckham badala ya CR7,figo au pirlo

Hao wangu mimi weka wako nawe.
 
4-1-3-2

Buffon

Lahm Terry Ramos A.Cole

C.Makelele

Messi Lampard C.Ronaldo

Inzaghi Ronaldhino

Sub's
Cassillas
Vidic
Muller
Drogba
Kaka
De Lima
R.Carlos
 
Iker, Dani Alves, Ramos, T.Silva, Marcelo, M.Senna, Pirlo, Zizou, Kaka, Ronaldinho, Kun.

SUBS:
Julio Cesar, Puyol, Lucio, Juninho P., Forlan, Javier Zanetti
 
1. Oliver kahn
2. Cafu.
3. Roberto carlos
4. Alesandro nesta
5. Rio ferdinand
6. Claude Makelele
7. David beckham
8. Zinedine zidane.
9. Ronaldo de lima
10. Totti
11. Ronaldinho gaucho.

SUB :
Etoo, Gatusso, kaka', messi, cristiano ronaldo, canavaro, riquelme, Maldin, cassilas, Lahm
 
hebu kwanza miaka 10 iliyopita
2015-10 = 2005 je mnao wataja walikua kwenye ubora wao au mahaba niue ??

tisa ya chogo nyingine pangeni nyinyi
 
4:3:3
1 lehman
2 maicon
3 a.cole
4 ramos
5 lucio
6 gatuso
7 cr7
8 fabrigas
9 ronaldo
10 kaka
11 messi
 
4-3-2-1

1-van de sar
2-maicon
3-lizarazu
4-vidic
5-terry
6-viera
7-beckham
8-zidane
9-ronaldo luis de lima
10-gaucho
11-lion messi.

miaka 10 iliyopita tunaanzia mwaka 2005, sasa Lizarazu alikuwa anacheza au alishastafu mkuu?
 
4-1-3-2

Buffon

Lahm Terry Ramos A.Cole

C.Makelele

Messi Lampard C.Ronaldo

Inzaghi Ronaldhino

Sub's
Cassillas
Vidic
Muller
Drogba
Kaka
De Lima
R.Carlos

umesomeka mkuu
 
Iker, Dani Alves, Ramos, T.Silva, Marcelo, M.Senna, Pirlo, Zizou, Kaka, Ronaldinho, Kun.

SUBS:
Julio Cesar, Puyol, Lucio, Juninho P., Forlan, Javier Zanetti

asante kwa kumchagua Marco Senna...shujaa wa Euro 2008
 
hebu kwanza miaka 10 iliyopita
2015-10 = 2005 je mnao wataja walikua kwenye ubora wao au mahaba niue ??

tisa ya chogo nyingine pangeni nyinyi

watu wameweka unazi mbele mkuu
 
4:3:3
1 lehman
2 maicon
3 a.cole
4 ramos
5 lucio
6 gatuso
7 cr7
8 fabrigas
9 ronaldo
10 kaka
11 messi

Lehmann ndio golikipa wako bora kwa miaka 10 iliyopita? hay a mkuu ni mtazamo wako
 
Kikosi changu ni wachezaji wooote waliocheza vizuri katika miaka 10 iliyopita. Haya mambo ya kutengeneza vikosi bora sasa imekuwa non sense! Kama kweli unafuatilia mpira na sio shabiki maandazi huwezi kuwa na listi ya wachezaji bora 11 TU katika miaka 10 iliyopita.

umeshindwa kuelewa swali, ni heri upige kimya
 
1. Oliver kahn
2. Cafu.
3. Roberto carlos
4. Alesandro nesta
5. Rio ferdinand
6. Claude Makelele
7. David beckham
8. Zinedine zidane.
9. Ronaldo de lima
10. Totti
11. Ronaldinho gaucho.

SUB :
Etoo, Gatusso, kaka', messi, cristiano ronaldo, canavaro, riquelme, Maldin, cassilas, Lahm
Mkuu una roho ngumu sana.. Yani toka 2005-2015, unampiga benchi messi, Cr7
 
Back
Top Bottom