Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hahahahah[emoji1787][emoji1787]Vipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"
Sikilizeni nyie tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah[emoji1787][emoji1787]Vipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"
Sikilizeni nyie tu
Deiwaka chini ya sebastian maganga na ops,,, kila alhamisi top ten, ilikuwa sio poaHii stage nishaivuka ya kufatilia vipindi ivo
Enzi zangu kipindi hicho kuna DEIWAKA SHOW pale UHURU FM.
Kuna vitu vya kina Mr II enzi hizo anajiita II Proud
[emoji23][emoji23]
Nimekubali kila Zama na kitabu chake.
Vijana endeleeni kula burudani mda wenu ndo huu.
Kuna tatizo ukiwa dereva wa daladala?Huo muda wa kusikiliza radio mida ya kazi mnautoa wapi,mtakuwa madereva wa daladala nyie
Hadi kipindi kiishe umetukanwa hadi ukomeVipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"
Sikilizeni nyie tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"
Sikilizeni nyie tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hadi kipindi kiishe umetukanwa hadi ukome
Tatizo wanaochangia huu uzii kuna nyuzi zao zingine wanaonekana ni wasomi,waakaa masaki mara wameenda kuchukua pisi kali na ma vx yao,na wako humu masaa 24 contrary na kazi ya daladalaKuna tatizo ukiwa dereva wa daladala?
Vipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"
Huyo jamaa hata kama ni swagger, me huwa naona anazingua.. bora wakati anafanya YouTube kabla hajaingia kwenye hizi mainstream mediaVipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"
Sikilizeni nyie tu
Au vinyozi saloon, hio kazi naitamani sana🤣Huo muda wa kusikiliza radio mida ya kazi mnautoa wapi,mtakuwa madereva wa daladala nyie
amini kwamba ile Kiss FM ambayo walikuwa wanabonga kizungu, hapa DJ Maliz kwenye mashine afu D7 kwenye mic.. dah ile show miaka 100 , kama sikosei ni 2005 hivi mpaka 2006 na kuendelea kidogo ilikuwa fire sanaHakuji kutokea radio ilikuwa na vipindi vikali kama kiss fm enzi hizo mitaa yote station ilikuwa inasikilizwa na wajanja n hyo kiss fm ya zamani.
Kwanza jiulize wewe mwenyewe, kataka hivi vipindi vitatu ubora wao ni nini....mbona wote wako fake tu. Watangazaji wanabana sana pua kujifanya black Americans wakati hata huko Marekani kwenyewe wamarekani weusi hawabani pua wakiwa wanatangaza. Hawana ubora wowote as wote wako useless na wannabes tu wa kijinga!Waungwana salam, kichwa cha habari kinajieleza,
Kwasasa nchini Tanzania ni kipindi gani bora cha burudani kati ya: 1. Empire cha EFM kinachoendeshwa na B dozen na Jonijo 2. The Switch cha Wasafi FM kinachoendeshwa na The Real Ommy, Ammy Gal na mshana au 3. XXL cha Clouds FM cha kina mchomvu mina Ally na Kennedy the Remedy?
AiseeStill XXL ni bora kuliko hao wooote japo wameshuka, kipindi kimepoa saaana ila bado wakuwafikia katika hao hakuna.
Kwa pale XXL ni nan anabana pua..?Kwanza jiulize wewe mwenyewe, kataka hivi vipindi vitatu ubora wao ni nini....mbona wote wako fake tu. Watangazaji wanabana sana pua kujifanya black Americans wakati hata huko Marekani kwenyewe wamarekani weusi hawabani pua wakiwa wanatangaza. Hawana ubora wowote as wote wako useless na wannabes tu wa kijinga!
Sauti ya bati bovu apa..Naamini..No more talk,,Chapa kopo RDJ spur twende mjini si ndio..UtawalaVipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"
Sikilizeni nyie tu