Kipi ni Kipindi bora cha burudani kwasasa kati ya Empire (EFM), The Switch (Wasafi FM) au XXL (Clouds FM)?

Kipi ni Kipindi bora cha burudani kwasasa kati ya Empire (EFM), The Switch (Wasafi FM) au XXL (Clouds FM)?

Hii stage nishaivuka ya kufatilia vipindi ivo

Enzi zangu kipindi hicho kuna DEIWAKA SHOW pale UHURU FM.

Kuna vitu vya kina Mr II enzi hizo anajiita II Proud

[emoji23][emoji23]

Nimekubali kila Zama na kitabu chake.


Vijana endeleeni kula burudani mda wenu ndo huu.
Deiwaka chini ya sebastian maganga na ops,,, kila alhamisi top ten, ilikuwa sio poa
 
Vipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"

Vipindi vyenyewe ndo hivyo
"bango kubwa" , sijui "lock nene" "babako"
"no ur rede"

Sikilizeni nyie tu
Huyo jamaa hata kama ni swagger, me huwa naona anazingua.. bora wakati anafanya YouTube kabla hajaingia kwenye hizi mainstream media
 
Duuu kwangu Planet bongo tuu kwa muda huo ndio huwa naona afadhali tena Ijumaa heshima ya bongo fleva kwangu ndio huwa sikosi pale ninapokua na redio... bado kuna ngumu nyeusi vi dondoo vya michezo humo humo wanajitahidi
 
Hakuji kutokea radio ilikuwa na vipindi vikali kama kiss fm enzi hizo mitaa yote station ilikuwa inasikilizwa na wajanja n hyo kiss fm ya zamani.
amini kwamba ile Kiss FM ambayo walikuwa wanabonga kizungu, hapa DJ Maliz kwenye mashine afu D7 kwenye mic.. dah ile show miaka 100 , kama sikosei ni 2005 hivi mpaka 2006 na kuendelea kidogo ilikuwa fire sana
 
Waungwana salam, kichwa cha habari kinajieleza,

Kwasasa nchini Tanzania ni kipindi gani bora cha burudani kati ya: 1. Empire cha EFM kinachoendeshwa na B dozen na Jonijo 2. The Switch cha Wasafi FM kinachoendeshwa na The Real Ommy, Ammy Gal na mshana au 3. XXL cha Clouds FM cha kina mchomvu mina Ally na Kennedy the Remedy?
Kwanza jiulize wewe mwenyewe, kataka hivi vipindi vitatu ubora wao ni nini....mbona wote wako fake tu. Watangazaji wanabana sana pua kujifanya black Americans wakati hata huko Marekani kwenyewe wamarekani weusi hawabani pua wakiwa wanatangaza. Hawana ubora wowote as wote wako useless na wannabes tu wa kijinga!
 
Kwanza jiulize wewe mwenyewe, kataka hivi vipindi vitatu ubora wao ni nini....mbona wote wako fake tu. Watangazaji wanabana sana pua kujifanya black Americans wakati hata huko Marekani kwenyewe wamarekani weusi hawabani pua wakiwa wanatangaza. Hawana ubora wowote as wote wako useless na wannabes tu wa kijinga!
Kwa pale XXL ni nan anabana pua..?
 
Back
Top Bottom