Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana


Hivi mzee baba, wewe ndiye kuna wakati uliandika utagombea ubunge?
 
lub zipo za kila jamani, mwambie na huyo babe wako mwambie anywe mabamia, anywe karafuuu, na apunguze stress za madeni na vicoba
dada mwingine mnyonge akihangaikia suluhu ya tatizo la kutoshika ujauzito,

alipitia vipimo vingi, lakini pia ilibainika ana mafuta machafu yaliyokusanyika na kuganda nje ya via vyake vya uzazi kwa ndani,

alipo ulizwa kulikoni,
alisema huenda ni kwasababu bwana wake hutumia mafuta ya mgando wakijamiiana...

na tangu hapo, binti yule mrembo chibonge alishauriwa yeye na bwanake wasitumie mate kwakua ni sumu zaidi, au mafuta ya aina yoyote wakati wa kujamiana,

sifahamu kama ilimsaidia kupata ujauzito, lakini huenda ilimsababishia tatizo jingine kwenye mfumo wa uzazi...

huo ni ushuhuda kidogo tu wa athari za kutumia mafuta kiholela kama kilainisshi wakati wa tendo 🐒

nakutakia afya njema ya uzazi 🐒
 
si ndo maaan nikampa option zingine za kunywa 😂😂


shida ni dada au shida ni mwanaume


hakikisheni mnawaandaa wake zenu mpaka wawe tyari sasa nyie kwakua mnataka tu kuweka hamjali kama mtu yuko tayari kwa tendo au la mkikuta hayuko tayar ndo mimate shwaaa wooi
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aisee
 
Nadhani binadamu tulivyoumbwa huwa tunataka kubadili ladha, tunachokana na kukinaiana hata kama tunajificha na kuambiana tunayotaka kusikia.
Namimi hicho hua ndio kipimo changu cha kujua kama mwanamke bado anani feel. Ukisha anza kuona unalazimika kutumia vilainishi ujue hapo mjomba unafosi mambo hakuna mapenzi tena unapewa basi tu ili uendelee kuchunwa.
 
Namimi hicho hua ndio kipimo changu cha kujua kama mwanamke bado anani feel. Ukisha anza kuona unalazimika kutumia vilainishi ujue hapo mjomba unafosi mambo hakuna mapenzi tena unapewa basi tu ili uendelee kuchunwa.
Kabisa, au bora liende sababu ni ndoa. Sasa unakuta hadi siku ya ovulation hola mpaka mimate.

Ila usiache, atajua mwenyewe we paka maliza hamu yako.
 


KY Jelly itumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…