Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Pesa ni kilainishi muheshmiwa.....
 
Kwa akili yako, wewe utakuwa Lusinde wa pili pale Bungeni.
kwan kuna ubaya gani gentleman,

ikiwa hakuna anaeweza kumtikisa jimboni kwake na hata humu mjengoni?

kwani chuki binafsi za waoga wachache inaweza mzuia mtu asiwe mbunge kweli?

hata hivyo,
that is the story for other day in other platforms,

vipi mkuu,
hua una kabiliana vip na kukauka au ukavu wa via vya uzazi uanapokua unajamiiana?
 
Anakua kakuzoea anakuona wa kawaida,Sasa hapa unabaki ule upendo wa kawaida,
Au pengine humpi hela.

Utelezi lazima uje kwa mwanaume unayempenda,yaan hata akikuangalia tu chupi imeloa
 
Namimi hicho hua ndio kipimo changu cha kujua kama mwanamke bado anani feel. Ukisha anza kuona unalazimika kutumia vilainishi ujue hapo mjomba unafosi mambo hakuna mapenzi tena unapewa basi tu ili uendelee kuchunwa.
Ipo hivyo, utelezi unatoka kwa mwanaume unayempenda bila hata kutumia nguvu,ukiona unalazimisha upendo umeisha
 
Anakua kakuzoea anakuona wa kawaida,Sasa hapa unabaki ule upendo wa kawaida,
Au pengine humpi hela.

Utelezi lazima uje kwa mwanaume unayempenda,yaan hata akikuangalia tu chupi imeloa
Kwa kifupi tu tukubaliane kwamba mwanamke akishakuchoka hata umpe nini haisaidii. Hata ukimpa hela kuna wakati nazo anazizoea, hata unyonye papuchi kuna wakati atazoea, hata usimamie kucha kiasi gani kuna wakati atazoea, na akishazoea utelezi utausikia kwa jirani πŸ˜„
 
Maandalizi na mazoea labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…