Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Katika mazingira fulani, hua panapotokea ukavu au kukauka kwa sehemu za siri wakati wa tendo la ndoa..

Je, usahihi na usalama wa afya ya tendo lenyewe ni kutumia mate au mafuta kulainisha sehemu hizo zilizokauka au kavu?

Na vipi mkaishia hapo kwa siku hiyo, mpaka tena wakati mwingine patakapokua na ute wa kutosha, kisha muendelee tena na tendo, kuna ugumu wowote ndugu zangu?

Na, ni aina gani ya mafuta ambayo ni salama zaidi kwa afya, na aina ipi ni hatari kwa mustakabali mwema wa afya ya via vya uzazi vya wahusika kwenye tendo lenyewe ?🐒
Pesa ni kilainishi muheshmiwa.....
 
Kwa akili yako, wewe utakuwa Lusinde wa pili pale Bungeni.
kwan kuna ubaya gani gentleman,

ikiwa hakuna anaeweza kumtikisa jimboni kwake na hata humu mjengoni?

kwani chuki binafsi za waoga wachache inaweza mzuia mtu asiwe mbunge kweli?:pulpTRAVOLTA:

hata hivyo,
that is the story for other day in other platforms,

vipi mkuu,
hua una kabiliana vip na kukauka au ukavu wa via vya uzazi uanapokua unajamiiana?:BRUHMM:
 
Hivi ni kwanini mwanamke ukianza nae mahusiano ile mwanzo mwanzo ute hua unachuruzika wenyewe mpaka kufikia kulowesha ch*pi, lakini kadri siku zinavyoenda hali ya ukavu na ukame kunako via vya uzazi inashika hatamu mpaka kulazimika kuanza kufanya kilimo cha umwagiliaji?

Au ndio mabadiliko ya tabianchi?
Anakua kakuzoea anakuona wa kawaida,Sasa hapa unabaki ule upendo wa kawaida,
Au pengine humpi hela.

Utelezi lazima uje kwa mwanaume unayempenda,yaan hata akikuangalia tu chupi imeloa
 
Namimi hicho hua ndio kipimo changu cha kujua kama mwanamke bado anani feel. Ukisha anza kuona unalazimika kutumia vilainishi ujue hapo mjomba unafosi mambo hakuna mapenzi tena unapewa basi tu ili uendelee kuchunwa.
Ipo hivyo, utelezi unatoka kwa mwanaume unayempenda bila hata kutumia nguvu,ukiona unalazimisha upendo umeisha
 
Anakua kakuzoea anakuona wa kawaida,Sasa hapa unabaki ule upendo wa kawaida,
Au pengine humpi hela.

Utelezi lazima uje kwa mwanaume unayempenda,yaan hata akikuangalia tu chupi imeloa
Kwa kifupi tu tukubaliane kwamba mwanamke akishakuchoka hata umpe nini haisaidii. Hata ukimpa hela kuna wakati nazo anazizoea, hata unyonye papuchi kuna wakati atazoea, hata usimamie kucha kiasi gani kuna wakati atazoea, na akishazoea utelezi utausikia kwa jirani 😄
 
Hivi ni kwanini mwanamke ukianza nae mahusiano ile mwanzo mwanzo ute hua unachuruzika wenyewe mpaka kufikia kulowesha ch*pi, lakini kadri siku zinavyoenda hali ya ukavu na ukame kunako via vya uzazi inashika hatamu mpaka kulazimika kuanza kufanya kilimo cha umwagiliaji?

Au ndio mabadiliko ya tabianchi?
Maandalizi na mazoea labda
 
Back
Top Bottom