Kipigo cha Dk. Ulimboka chazua balaa tiGO

Kipigo cha Dk. Ulimboka chazua balaa tiGO

Huyu jamaa amesingiziwa.haiwezekani mtu atumie jina lake halisi na namba alizosajili kumpigia mtu then amteke.huu ni uzushi mtupu

Mkuu acha pumba mission ilikua kuua kabisa na aliyetaja namba ni ulimboka mwenyewe kama angekufa asingeitaja na hata wakipeleleza report ingekuja ya uongo coz mpelelezi wa kesi ndio huyohuyo muuaji.
 
Dr deo ambaye ni rafiki wa karibu na ulimboka na ambaye alikuwa nae siku ya tukio yuko wapi?
 
Mkuu acha pumba mission ilikua kuua kabisa na aliyetaja namba ni ulimboka mwenyewe kama angekufa asingeitaja na hata wakipeleleza report ingekuja ya uongo coz mpelelezi wa kesi ndio huyohuyo muuaji.
basi kukusaidia mkuu usimwamini sana kubenea,naye anatumiwa
 
Na huo ndio udhaifu alioamua kuuexploit Kubenea kwa kuwahadaa hawa kwa vipesa kidogo bila kujua wanahatarisha ajira zao. Wakijua kuwa Kubenea alikuwa anawatumia tu kwa kufanikisha maslahi yake watakosa sababu ya kumdhuru huyu Kubenea?

Ndugu Ecoli nina uhakika hata kama hawajarubuniwa na vijisent vya Kubenea, hao vijana watakuwa wameifanya hiyo kazi kwa moyo wa kizalendo kabisa kwa ajili ya Watanzania wengine wengi wanaoitakia mema nchi yao! Hivyo sio wa kulaumiwa bali kupongezwa kwa kitendo chao cha kizalendo. Cha msingi kwa sasa ni kulaani kitendo cha tiGO kuwafukuza kazi, kwani mbona UWT wao hupewa data hizo hizo bure bila hata ajizi wanapohitaji kushughulikia baadhi ya watu? Kwenye hili eneo, wameshikwa pabaya lazima wakubali
 
basi kukusaidia mkuu usimwamini sana kubenea,naye anatumiwa

Kitendo Cha serikali kushinikiza waliotoa data kufukuzwa kazi ndio kinazidi kuwavua chupi na kudhihirisha kwamba habari za kubenea ni za ukweli 100%!!!
 
Serikali imewekwa uchi tumeiona aibu yao hadi watoto wadogo wamejua kuwa serikali ni muuuaji
 
unamaanisha wa format bongo zetu zifute memory?



hivi hoyo ulimboka ana faida gani kwa nchii hii . Lets say angekufa nchi ingepata hasara gani? Ok au sasa awe amepona je nchi itapata faida gani?????? Watanzania tuache mambo yasiyo na faida . Mimi naona ni bora wangemuulia mbali tu huyo ulimboka
 
hivi hoyo ulimboka ana faida gani kwa nchii hii . Lets say angekufa nchi ingepata hasara gani? Ok au sasa awe amepona je nchi itapata faida gani?????? Watanzania tuache mambo yasiyo na faida . Mimi naona ni bora wangemuulia mbali tu huyo ulimboka

Nijibu kwanza swali langu then nitayajibu maswali yako!! Je wewe una faida gani?
 
kwa kweli tigo hamjawatendea haki kabsa hao watumishi wenu, ukweli unajulikana kama serekali ndiyo imehusika na tukio hilo mbona wanapindisha maada??????????????? ila ipo ck mungu atatupa majib juu ya hillo, late us wait, illa nyie mcccmm nyie ipo cku mtangooka tu hapo juuuuuu late us pray to sir god, yaan personal cwapendi hawa jamaaaaaaaaaaaaa
 
wewe n mpumbavuuuuuu tena mpumbavuuuuuu inamana unashabikuteswa kwa dr, assume ingetokea kwako, huna akieri kabsa ww inaonekana u miongon mwa hao waliomtesa jamaa, lioneeeeeeeeeeeee
 
Kwani wee Kupe ndiye Rama nini ? Mbona unahamaki sana ama ?

Kwani hata wewe wanaouona umuhimu wako ni ndugu zako wengine hata nawe ukifika leo, NO P !
 
kubenea amekuwa anapata live habari hadi za vikao vya siri vya CCM(nec na cc). Je siri hizo ni Tigo inahusika? hizi ni dalili za serikali kuchokwa hadi na watendaji wake.
 
Duh!!!! ama kweli kwa data hizi nchi sasa yaweza kuwa na majasusi wa ukweli teh teh teh teh

simu ni noumer.ukiwa nayo hata kama umeizima inatoa signal kwenye mnara ulio karibu so you can be tracked.
Chochote unachoongea na mtu katika cm jua kuna mtu anaweza akaingilia maongezi yenu .that is why hata watu kama kina bin laden,mula omary ama mtu yeyote anayetafutwa hawezi kukaa na simu cause it can be tracked
 
basi kukusaidia mkuu usimwamini sana kubenea,naye anatumiwa

anasema mtekaji wa uli alikua anawasiliana na uli.,tena zaidi ya mara mbili .WALIKUA WANAONGEA NINI?mbona si ulimboka ama kubenea wasiotaka kutuambia walikua wanajadili nini.
...Haya kuongea kwa huyo rama na ulimboka ndo kunamfanya awe SUSPECT ama kuna kitu nakimiss hapa?
AU kuongiziwa salio kubwa kwenye simu ndo kiashiria cha kuhusika na utekaji. HIVI MBONA NAMBA ILIYOMWEKEA HILO SALIO HAITAJWI?
 
Kuna uwezekano Rama alitumia kitambulisho cha mpiga kura kwenye kusajili namba yake.

just how sure are we kwamba huyo rama yuko ikulu.?
Hivi mtu tena jasusi anasajiri namba ya simu kwa kutumia kadi ya mpiga kura .pamoja na kuweka details zote hadi nickname then anaproceed kuwasiliana na mtu anayepanga kumuua zaidi ya mara tano tena kwa kutumia namba yake ya simu yenye details zake zote.wakati hata dakika hii nikitaka kusajiri simcard kumi kwa majina bandia ni kitendo cha dakika kumi kwa gharama hata haizidi 5000.
KAMA NI KWELI BASI HUYU JAMAA NI MJINGA WA MWISHO.
 
Mbona hili la mwanahalisi maamuzi yanapitishwa bila kuunda tume kama ilivyodesturi yetu. Desturi ya EPA, Richmond, Majengo pacha BOT, Kutoroshwa kwa wanyama pori, Kusema uongo bungeni, n.k. Hata pale tume zilipoundwa mbona wahusika hawakutajwa na hatua walizochukuliwa?
 
Kwa jinsi wabongo walivyo hii ya Dr Ulimboka nayo itapita hivi hivi taratiibu, maovu mangapi serikali imefanya lakini its just a matter of time inakuja sinema mpya watu wanasahau ya zamani.
Kupigwa na kuteswa kwa Dr Ulimboka ni ktu kiko live bila chenga nani kahusika na Mwanahalisi walimalizia tu msumari wa mwisho kwenye hii stori, TISS hawako makini coz walitumia no zao za kawaida kwa shughuli kama hii na wameumbuka na its possible ni mipango ya Mungu tu ukatokea uzembe kama huu au hawa jamaa si wasomi wa kutosha na wanaojua kupanga na kutekeleza mambo makubwa kama haya, wanojua ipi ni loose end ya kuwakamatisha kirahiisi once wajanja wakiafatilia.
Ingependeza kama Mwanahalisi lingepelekwa mahakamani ili lishtakiwe kwa uchochezi hapo tungejua kweli serikali haihusiki bt kulifungia tuuu hivi hivi aaaaaaah hio hata mtoto angejua ni funika kombe tu coz habari ilioandikwa ukiisoma its just so real wandugu.
 
Back
Top Bottom