spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Kutokana na hali halisi kuwa timu nne ambazo ni namba tatu zitasonga mbele hatua ya mtoano ktk 16bora, timu ya Kenya Harambee stars kwa jinsi ilivyochakazwa na Senegal 3-0 imeifanya timu ya Kenya kuwa na goal difference (-ve4) ambayo ni mbaya sana kimsimamo.Ma
#3 Kundi A.
DRC Pts:3 Gd: 0
#3 Kundi B.
Guinea Pts:3 Gd: 1
#3 Kundi C.
Kenya Pts: 3 Gd: -4
#3 Kundi D.
SouthAfrica Pts: 3 Gd: -1
............................................
Kwa msimamo huo hapo juu, ili kenya ifuzu inabidi timu zote za kesho zitoke sare au suruhu, ikitokea timu zimefungana na moja kuibuka mshindi basi Harambee Stars itafungasha virago pia.
#3 Kundi A.
DRC Pts:3 Gd: 0
#3 Kundi B.
Guinea Pts:3 Gd: 1
#3 Kundi C.
Kenya Pts: 3 Gd: -4
#3 Kundi D.
SouthAfrica Pts: 3 Gd: -1
............................................
Kwa msimamo huo hapo juu, ili kenya ifuzu inabidi timu zote za kesho zitoke sare au suruhu, ikitokea timu zimefungana na moja kuibuka mshindi basi Harambee Stars itafungasha virago pia.