Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Tazama na hii jana, siku zaidi ya 360 (karibia mwaka) mazayuni na kujidai kwao kote na kusaidiwa na nguvu kubwa za kijeshi za marekani, Uingereza na NATO lakini ukweli ni huu, wanabamizwa, jionee mwe nyewe:


View: https://youtu.be/oEufpNMsXD8?si=attFx6IU8tWE1ale

Vijana wa Kipalestina ni moto wa kuotea mbali. Mazayuni wao wawaonee watoto wadogo, wanawake na wagonjwa mahospitalini tu.

Mashoga ni mashoga tu, hawawezi kuwa marijali. Eti ndio wataweza kupambana na muirani 😄😄😄😄
 
Kumbukumbu la Torati 10:17
Kwa maana BWANA, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea nyuso za watu, wala hakubali rushwa.

Allah ni Mungu kama miungu wengine, ila Mungu wa Allah ni JEHOVA

So Allah Hawezi kumshinda Boss wake kamwe. upo hapo bibi?
Eroi nae ni nani?
 
Tatizo lenu wengi wenu hamna elimu.

Mie nnauhakika hamfahamu hata mazayuni ni nani na Wayahudi ni nani. Hata doctrine zao hamzifaham, mpo too shallow.
Wewe unatambia elimu ya madrassat.
 
Back
Top Bottom