mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Andikeni sana kabla hamjaanza kuandika zile za kulia lia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jionee kichapo wanachochezea vikosi vyva mazayuni viilivyopo Ghaza:
View: https://youtu.be/_iJxoDzrBTw?si=gRqujgeP4ORDD6fg
Cheza na Hamas wewe?
Tazama na hii jana, siku zaidi ya 360 (karibia mwaka) mazayuni na kujidai kwao kote na kusaidiwa na nguvu kubwa za kijeshi za marekani, Uingereza na NATO lakini ukweli ni huu, wanabamizwa, jionee mwe nyewe:
View: https://youtu.be/oEufpNMsXD8?si=attFx6IU8tWE1ale
Vijana wa Kipalestina ni moto wa kuotea mbali. Mazayuni wao wawaonee watoto wadogo, wanawake na wagonjwa mahospitalini tu.
Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Usituletee habari za wiki zilizopita kenge wewe.Dakika 40 zilizopita hichi ndicho kinachoendelea lebanon. View attachment 3115637
Mpaka mtakapokubali ya kwamba Mungu wa Israel ndiye MUNGU anayetawala tawala zote za wanadamu, ni Bwana wa wafalme wote, Na ndiye MUNGU anayewaweka wafalme na kuwaondoa
Wahouthi nao wanaendeleza kichapo, mpaka pentagon, wamekiri:Uongo umeruhusiwa maadamu una maslahi na dini ya Kiislamu
Huyo ni mungu yesu au unamuongelea mungu yupi wa mazayuni?Dakika 40 zilizopita hichi ndicho kinachoendelea lebanon.
Mpaka mtakapokubali ya kwamba Mungu wa Israel ndiye MUNGU anayetawala tawala zote za wanadamu, ni Bwana wa wafalme wote, Na ndiye MUNGU anayewaweka wafalme na kuwaondoa
Uzuri wa Wayemeni wakitandika wanapiga na video, sema za kutengeneza hizi. tazama mwingereza anafanywa nini hapa?Uongo umeruhusiwa maadamu una maslahi na dini ya Kiislamu
Waislam ndo akina nani? Ni watu gan hao? Je ndo wale wanaoabudu muzimu wa waarabu? Uitwao Allah?Waislam tunasema wanaosema kristo ni Mungu hao ndiyo makafiri.
Wapi Yesu alisema "Mimi Mungu au Niabuduni"?
Wacha itokee tupate mademu wa bwerereTatizo hadi sasa hakuna anayekubari kushindwa
kama utani WW3
Hezbollah mnamo Oktoba 5 ilidai mashambulizi kadhaa mapya wakati IDF ilipojaribu kujipanua Lebanon. Kundi hilo limesema lilishambulia vifaru vya Israel vyaa Merkava wakati likiendelea katika eneo la msitu wa Maroun na kusababisha vifo. Mapema Oktoba 2, wanamgambo hao waliharibu vifaru vitatu vya Israel vya Merkava kwa kutumia roketi. Angalia kwa zaidi.
Hezbollah mnamo Oktoba 5 ilidai mashambulizi kadhaa mapya wakati IDF ilipojaribu kujipanua Lebanon. Kundi hilo limesema lilishambulia vifaru vya Israel vyaa Merkava wakati likiendelea katika eneo la msitu wa Maroun na kusababisha vifo. Mapema Oktoba 2, wanamgambo hao waliharibu vifaru vitatu vya Israel vya Merkava kwa kutumia roketi. Angalia kwa zaidi.
View: https://www.youtube.com/live/KkZ46qGX1lo?si=xDFAsCV8OLFKCY81
Inna. Li Llshi wa inna Ilayhi rajiun.Kamanda mkuu wa Hezbollah alietuliwa kumrithi Hassan nasralaah Ameuwawa Beirut,
Habari za hivi punde zimesema kwamba Hezbollah imetangaza kuuwawa Kwa kamanda wao mkuu Hasheem saffiedine ambae alichaguliwa kuchukua nafasi ya Hassan nasralaah alieuwawa masiku yaliyopita, Kamanda huyu mpya wa Hezbollah ameuwaawa na majeshi ya Israel Huko Beirut Lebanon akiwa kwenye handaki...www.jamiiforums.com
Uko wapi wewe kibibi? Kamanda mpya wa Hezbollaah kauwawa, bado uko nyuma sana
Loading…
www.reuters.com
![]()
Hezbollah loses contact with leader seen as Nasrallah’s successor: Sources
Hashem Safieddine was reportedly inside Hezbollah’s underground intelligence headquarters during an Israeli air strike.www.aljazeera.com
Uko wapi wewe kibibi? Kamanda mpya wa Hezbollaah kauwawa, bado uko nyuma sana
Сравненные с бедствием, нанесённым Израилем Ливану, Хезболле и Хамасу, эти потери незначительны и представляют собой лишь ушибы.Comparées au fléau infligé par Israël au Liban, au Hezbollah et au Hamas, ces pertes sont minimes et ne sont que des contusions.