Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Tazama na hii jana, siku zaidi ya 360 (karibia mwaka) mazayuni na kujidai kwao kote na kusaidiwa na nguvu kubwa za kijeshi za marekani, Uingereza na NATO lakini ukweli ni huu, wanabamizwa, jionee mwe nyewe:


View: https://youtu.be/oEufpNMsXD8?si=attFx6IU8tWE1ale

Vijana wa Kipalestina ni moto wa kuotea mbali. Mazayuni wao wawaonee watoto wadogo, wanawake na wagonjwa mahospitalini tu.

Uongo umeruhusiwa maadamu una maslahi na dini ya Kiislamu
 
Uongo umeruhusiwa maadamu una maslahi na dini ya Kiislamu
Wahouthi nao wanaendeleza kichapo, mpaka pentagon, wamekiri:

Wahouthi wa Yemen walidai kufanya operesheni dhidi ya meli tatu za kivita (destroyers) wa Marekani walipokuwa wakielekea Israel. Msemaji wa Houthi Yahya Sarea alitangaza kuwa shambulio hilo lilifanywa kwa kutumia makombora 23 ya masafa marefu na yenye mabawa na ndege isiyo na rubani.Afisa huyo wa Houthi alidai kuwa operesheni hiyo ilisababisha mashambulizi ya moja kwa mojya Marekani. Kiongozi huyo wa ngazi ya juu wa jeshi la Yemen amesema shambulio hilo la kombora ni kubwa zaidi katika harakati za kupambana na Israel, mapoka meeli za wamarekani ikabidi zitoke nduki kukimbia mashambulizi hayo.

.Jeshi la wanamaji la Marekani limesema meli zake za kivita zinazopitia mlango bahari wa Bab al-Mandab zilizuia makombora kadhaa yaliyofyatuliwa na wa Houthi. Maafisa wa Marekani waliliambia shirika la habari la Reuters kwamba makombora hayo yalijumuisha makombora na ndege zisizokuwa na rubani na hakuna uharibifu wowote kwa meli yoyote kati ya tatu za kivita katika eneo hilo."Tuliona shambulio tata lililorushwa kutoka kwa Wahouthi ambalo lilitokana na makombora ya masafa marefu na [drones], iabidsi tuzikimbize kujiokowa" naibu msemaji wa Pentagon Sabrina Singh alisema:


View: https://youtu.be/xzJAioAvOZE?si=SjV-bPMlcZIYrOPN
 
Dakika 40 zilizopita hichi ndicho kinachoendelea lebanon.
Mpaka mtakapokubali ya kwamba Mungu wa Israel ndiye MUNGU anayetawala tawala zote za wanadamu, ni Bwana wa wafalme wote, Na ndiye MUNGU anayewaweka wafalme na kuwaondoa
Huyo ni mungu yesu au unamuongelea mungu yupi wa mazayuni?
 
Waislam tunasema wanaosema kristo ni Mungu hao ndiyo makafiri.

Wapi Yesu alisema "Mimi Mungu au Niabuduni"?
Waislam ndo akina nani? Ni watu gan hao? Je ndo wale wanaoabudu muzimu wa waarabu? Uitwao Allah?

Au ndo wale wapinga KRISTO walionenwa kwa vinywa vya manabii?

Yohana 14:1-14 soma hapo ili umjue MUNGU WA KUABUDIWA
 
Hezbollah mnamo Oktoba 5 ilidai mashambulizi kadhaa mapya wakati IDF ilipojaribu kujipanua Lebanon. Kundi hilo limesema lilishambulia vifaru vya Israel vyaa Merkava wakati likiendelea katika eneo la msitu wa Maroun na kusababisha vifo. Mapema Oktoba 2, wanamgambo hao waliharibu vifaru vitatu vya Israel vya Merkava kwa kutumia roketi. Angalia kwa zaidi.


View: https://www.youtube.com/live/KkZ46qGX1lo?si=xDFAsCV8OLFKCY81
 
Hezbollah mnamo Oktoba 5 ilidai mashambulizi kadhaa mapya wakati IDF ilipojaribu kujipanua Lebanon. Kundi hilo limesema lilishambulia vifaru vya Israel vyaa Merkava wakati likiendelea katika eneo la msitu wa Maroun na kusababisha vifo. Mapema Oktoba 2, wanamgambo hao waliharibu vifaru vitatu vya Israel vya Merkava kwa kutumia roketi. Angalia kwa zaidi.


View: https://www.youtube.com/live/KkZ46qGX1lo?si=xDFAsCV8OLFKCY81




Uko wapi wewe kibibi? Kamanda mpya wa Hezbollaah kauwawa, bado uko nyuma sana


 

Uko wapi wewe kibibi? Kamanda mpya wa Hezbollaah kauwawa, bado uko nyuma sana


Inna. Li Llshi wa inna Ilayhi rajiun.

Qur'an 3:169. Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi. 169
 
Comparées au fléau infligé par Israël au Liban, au Hezbollah et au Hamas, ces pertes sont minimes et ne sont que des contusions.
Сравненные с бедствием, нанесённым Израилем Ливану, Хезболле и Хамасу, эти потери незначительны и представляют собой лишь ушибы.
 
Back
Top Bottom