Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Jipe faraja kwa kibomu kidogo hicho, tena kimeangukia barabarani