Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Hii habari yako ninamashaka nayo.
Nimeitafuta sana nimeikosa.
Maana sasahivi propaganda ni nyingi.
Jana na juzi zilimbaaa video za askari wa Israel wanauwawa na vifaru kulipuka kumbe ni vita vya Syria.

Kuna video Moja ilisambaa Cha kifaru kinalipukiwa Cha Israel. Kumbe ni kifaru Cha urusi huko Ukraine.

Kuna nyingine video ilionyesha kuwa askari wa Israel wanalipukiwa na bomu barabarani kama zaidi ya 30 hivi kumbe ilikuwa ni Syria kundi la wakudish wanawalipua IS.

Nimefuatilia sana hata kwa pro Iran na pro Hezbollah na pro Palestina hii habali sijaziona .
Kuna huyu mmoja hapo sijaona kwake. Naona hii ndo inasambaa tuu.


View: https://x.com/ShaykhSulaiman/status/1842509832567349692?t=XVABrPOAczIzdxWtP-wUmA&s=19

Hujuwi utafute wapi kupata habari za ukweli.

habari zote nimekupa na vyanzo. Mmejazwa ujinga kudhani habari ya ukweli ni mpaka watume mazayuni na mashoga zao.

Mmefikia mpaka mnaona makombora yanawabamiza mazayuni nyinyi mnasema fataki hizo.

Aliyewapa jina kondoo hajakosea.
 
Hujuwi utafute wapi kupata habari za ukweli.

habari zote nimekupa na vyanzo. Mmejazwa ujinga kudhani habari ya ukweli ni mpaka watume mazayuni na mashoga zao.

Mmefikia mpaka mnaona makombora yanawabamiza mazayuni nyinyi mnasema fataki hizo.

Aliyewapa jina kondoo hajakosea.
Dada 😂 😂 😂 😂 😂
Habari yako haina uhakika ni ya utata.
Habari inayosambaa ni kuwawa kwa general wa Iran Ismael qeeni.

Ingekuwa kweli tukiona sehemu yingi tuu. Mpk vyombo vikubwa kama Al Jazeera maana wao hwapatani kabisa na Israel.

Hujui YouTube wewe watu wanaweka hizo headline hayo maandishi ili kuvutia viewers 😂😂😂😂.

Sijaziona hio habari. 😂😂😂
Lete source ya kuaminika hapa tuamini basi,😂😂
 
Sina hamu na vita vya Ukraine, maana channel za YouTube daaaaa .
🤣🤩🤣🤣🤩 Sio poa.
Ukiwa unaamini hizo channel utapotea.
Ni Bora usubiri vyombo vya habari vya uhakika kama Al Jazeera.
Hasa ndo wapo sahihi zaidi.
 
Jana zimevuja habari, F35 zipatazo 50 zimeuliwa kwa kipigo cha juzi.

Zitafute, ukishindwa kuzipata, sema tutakuletea.
Yaani wewe unipe habaribhizo mimi? Hebu jitekenye kidogo ili ucheke.
Hata idadi ya F-35 ambazo Israel inamiliki hauzijui na kila zilipotunzwa hizo F-35 inalindwa kama yanavyolindwa maeneo ya raia na mengine ambayo hakuna makombora yanaweza kupenya ili kuyafikia.
 
Yaani wewe unipe habaribhizo mimi? Hebu jitekenye kidogo ili ucheke.
Hata idadi ya F-35 ambazo Israel inamiliki hauzijui na kila zilipotunzwa hizo F-35 inalindwa kama yanavyolindwa maeneo ya raia na mengine ambayo hakuna makombora yanaweza kupenya ili kuyafikia.
hawana hata moja, zote za mabasha zao. Kama ulikuwa huelewi.

Ukisoma huelewi basi hata oicha huoni? Jionee kichapo kilikuwaje, Uliiona hii?:


View: https://youtu.be/y6_NFwQVKeQ?si=_FczHynVQ6naVRSh
 
Vichekesho kama hivi tubonyeze wapi?
Endelea kutazama tu vichekesho, leo hii:

Makombora ya roketi yalisikika katika miji ya kaskazini mwa Israel mnamo Oktoba 5 wakati wa mashambulizi ya ardhini ya IDF. Wakati IDF ikiendelea na uvamizi wake wa ardhini nchini Lebanon, Hezbollah ilirusha makombora ya masafa marefu. Ving'ora vilisikika katika miji mingi katika eneo la Bonde la Yezreeli na Wadi Ara, pamoja na Nazareti. Tazama video hii kwa maelezo yote.


View: https://www.youtube.com/live/l2voDT19nhw?si=16dp0ylts-0PWjnn
 
Hamas, Hizibollah wamesha shindwa.
Ambaye hajapigwa bado ni wa wanamgambo wa Yemen tu.
Hamas kashindwa wapi kafutwa ghaza au mateka wamekombolewa wote

Hizbullah kashinda wapi wazayuni wameweza kurejelea Kyle kaskazini ya israhell ama

Ama kushinda kwako sababu unaona vifusi?
 
Back
Top Bottom