Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Tazama na hii jana, siku zaidi ya 360 (karibia mwaka) mazayuni na kujidai kwao kote na kusaidiwa na nguvu kubwa za kijeshi za marekani, Uingereza na NATO lakini ukweli ni huu, wanabamizwa, jionee mwe nyewe:


View: https://youtu.be/oEufpNMsXD8?si=attFx6IU8tWE1ale

Vijana wa Kipalestina ni moto wa kuotea mbali. Mazayuni wao wawaonee watoto wadogo, wanawake na wagonjwa mahospitalini tu.

Unajitekenya unacheka mwenyewe, unajua uhalisia jinsi Hamas wamepelekewa moto mpaka wamekata ringi hamna tena kurusha viroketi uchwala
 
Ni mjinga sana huyu kijana et naye anajiita mkristo unajua wamakonde wana tabu sana
Kwann unamtoa akili mwenzako kwakua na namtazamo tofauti nawew? Je unajua hata huko israel kwenyew Yesu mwenyew hawamtambui na wanamuona tu kama muhuni flan?

Unapoamua kushabikia shabikia lakn usitumie karata ya ukristo.
 
Tatizo lenu wengi wenu hamna elimu.

Mie nnauhakika hamfahamu hata mazayuni ni nani na Wayahudi ni nani. Hata doctrine zao hamzifaham, mpo too shallow.
Shia ot sun?
 
Back
Top Bottom