zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Umempa jibu 1 mujarabu kabisaS
Kama jins wewe ulivyo kafiri ndo njis suni alivyo kafiri mbele shia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umempa jibu 1 mujarabu kabisaS
Kama jins wewe ulivyo kafiri ndo njis suni alivyo kafiri mbele shia
Tutaendelea kusubiri kama ujio wa Yesu kuja kunyakua wateuleSubiria muandamo wa mwezi utaelewa Jambo
Ni mjinga sana huyu kijana et naye anajiita mkristo unajua wamakonde wana tabu sanaUmempa jibu 1 mujarabu kabisa
Yupo sahihi kwa mawazo yako. But facts zinakinzana nanyi nyote.Jamaa yupo sahihi ndio hivyo
Nishakupa jibuYupo sahihi kwa mawazo yako. But facts zinakinzana nanyi nyote.
Umeandika maneno, hujatoa jibu mzee. 🤣 🤣 🤣 🤣 Au unaandika bora liende?Nishakupa jibu
Tazama na hii jana, siku zaidi ya 360 (karibia mwaka) mazayuni na kujidai kwao kote na kusaidiwa na nguvu kubwa za kijeshi za marekani, Uingereza na NATO lakini ukweli ni huu, wanabamizwa, jionee mwe nyewe:
View: https://youtu.be/oEufpNMsXD8?si=attFx6IU8tWE1ale
Vijana wa Kipalestina ni moto wa kuotea mbali. Mazayuni wao wawaonee watoto wadogo, wanawake na wagonjwa mahospitalini tu.
Soma tena ueleweUmeandika maneno, hujatoa jibu mzee. 🤣 🤣 🤣 🤣 Au unaandika bora liende?
Umejiandikia mwenyewe tu kwaajili ya kujifurahisha. 🤣 🤣 🤣 🤣Soma tena uelewe
Ndio nimekwambia soma tenaUmejiandikia mwenyewe tu kwaajili ya kujifurahisha. 🤣 🤣 🤣 🤣
Huo ubongo wa kuelewa SI mpaka awe nao.Soma tena uelewe
Kumbe namuelewesha mtu hana ubongo hii ni balaaHuo ubongo wa kuelewa SI mpaka awe nao.
kama unapapenda si uhamie huko?Uislam ni mmoja tu.
Mimi ni Mkristo napenda utaratibu wa waislam kwa kuwa na msikiti mmoja wa madhehebu yote.
Sisi wakristo hatuwezi
Kwann unamtoa akili mwenzako kwakua na namtazamo tofauti nawew? Je unajua hata huko israel kwenyew Yesu mwenyew hawamtambui na wanamuona tu kama muhuni flan?Ni mjinga sana huyu kijana et naye anajiita mkristo unajua wamakonde wana tabu sana
Shia ot sun?Tatizo lenu wengi wenu hamna elimu.
Mie nnauhakika hamfahamu hata mazayuni ni nani na Wayahudi ni nani. Hata doctrine zao hamzifaham, mpo too shallow.