Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Attachments

  • IMG_20241003_155026.jpg
    IMG_20241003_155026.jpg
    113.7 KB · Views: 3
Bibi Tarabushi FaizaFoxy Baada ya Ayotollah Nasrallah kukabidhiwa bikra 72 Huko jongomeo, huyu pia yamkini kafuata 🤔
.....
FB_IMG_1728100408608.jpg
 
Uislam ni mmoja tu.

Mimi ni Mkristo napenda utaratibu wa waislam kwa kuwa na msikiti mmoja wa madhehebu yote.

Sisi wakristo hatuwezi
Shia wanawapiga Suni hujui hilo kwani wanaovujisha siri kupeleka Israel huwajui ni akina nani Suni, kwa hio jichunguze
 
Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:


View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amezitaka nchi zote za kiarabu kuungana Ili wamshughulikie Adui

Khamenei amesema Adui wa Waislam ni mmoja tu

BBC
 
Tatizo hadi sasa hakuna anayekubari kushindwa

kama utani WW3
Ngoja niweke utani kidogo japo sio mzuri maana Maisha ya wasio na hatia yanateketea bureeee.

WW3
Ikianza WAZAYUNI wa TZ VS HAMAS, HEZBOLLAH,HOUTH WA TZ uwanjani wakiongozwa na ni Faiza fox.
 
Back
Top Bottom