FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #21
Tazama mzimu wa Iraq huu unashambulia mazayuni:Shia au Sunni? Jibu swali
View: https://youtu.be/P95klyiJXb4?si=HtfgY7adXow6wDWp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tazama mzimu wa Iraq huu unashambulia mazayuni:Shia au Sunni? Jibu swali
Tazama mzimu wa Iraq huu unashambulia mazayuni:
View: https://youtu.be/P95klyiJXb4?si=HtfgY7adXow6wDWp
Kwa kutumia ndege na makombora ya mabwana zao wa marekani kuuwa watoto, wanawake, wazee na wagonjwa? Hapo hakuna anaewashinda.Compared to the scourge wrought by Israel upon Lebanon, Hizbullah and Hamas, these casualties are minimal and mere bruises.
Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4
Na wapigwe sana ikiwezekana kila pembe!Hata vita ya Misri kama si marekani, muingereza na mfaransa, wasingeshinda.
Niombe radhi sister mimi niwe upande wa mazayuni kweli!Kwa hiyo wewe upo na wenye kudhulumu?
Kiboko yao Hezbollah, wataisoma namba.
Muislamu hlf una shabikia vita? Ivi unawajua hao mashia ww ? Unajua chanzo cha vita ?Sipo kwenye siasa.
Mimi Muislam.
ndiyo njia yako ya kupunguza machungu hiyo?
Mmedanganywa sana na mazayuni.
Tazama mzimu wa Iraq huu unashambulia mazayuni:
View: https://youtu.be/P95klyiJXb4?si=HtfgY7adXow6wDWp
Mungu muuwaji sioDakika 40 zilizopita hichi ndicho kinachoendelea lebanon. View attachment 3115637
Mpaka mtakapokubali ya kwamba Mungu wa Israel ndiye MUNGU anayetawala tawala zote za wanadamu, ni Bwana wa wafalme wote, Na ndiye MUNGU anayewaweka wafalme na kuwaondoa
Na wa magaidi ni yupi? Mnataka mpige lakini msirudishiwe kipigo. Hiyo haipo, mkipiga mnapigwa double potionMungu muuwaji sio
Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee:
View: https://www.youtube.com/live/wWF92iaqD5c?si=dHFNoMnIs0jHkaB4