Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

Compared to the scourge wrought by Israel upon Lebanon, Hizbullah and Hamas, these casualties are minimal and mere bruises.​
Kwa kutumia ndege na makombora ya mabwana zao wa marekani kuuwa watoto, wanawake, wazee na wagonjwa? Hapo hakuna anaewashinda.
Hii ya uso kwa uso ndiyo msema kweli. Mwaka sasa vijana wa Ghaza wanawahenyesha, watawaweza wababe wao wa miaka yote Hezbollah?

Maawee.
 
Mkuu Mosaid wana locations nyingi za siri duniani.
Kwa hiyo hata kama hiyo ya Israel imechakazwa bado shughuli za kijasusi zinaendelea kama kawaida,na operation za kijeshi zinaendelea pia.
 
Sipo kwenye siasa.

Mimi Muislam.

ndiyo njia yako ya kupunguza machungu hiyo?

Mmedanganywa sana na mazayuni.
Muislamu hlf una shabikia vita? Ivi unawajua hao mashia ww ? Unajua chanzo cha vita ?
 
Tazama mzimu wa Iraq huu unashambulia mazayuni:


View: https://youtu.be/P95klyiJXb4?si=HtfgY7adXow6wDWp

Dakika 40 zilizopita hichi ndicho kinachoendelea lebanon.
20241005_044004.jpg

Mpaka mtakapokubali ya kwamba Mungu wa Israel ndiye MUNGU anayetawala tawala zote za wanadamu, ni Bwana wa wafalme wote, Na ndiye MUNGU anayewaweka wafalme na kuwaondoa
 
Kula chumba hiyo we bibi. Mrithi Wa boss wa Hezbollah nae kaliwa kichwa.
 

Attachments

  • Screenshot_20241005-051229_1.jpg
    Screenshot_20241005-051229_1.jpg
    123.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom