Kipigo kimenyong'onyea: Zelensky aililia China isaidie kumaliza vita yake na Urusi

Kipigo kimenyong'onyea: Zelensky aililia China isaidie kumaliza vita yake na Urusi

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Zile tambo za Zelensky kwamba hataki mazungumzo na Putin kwa kuwa atamshinda kwenye uwanja wa vita naona zimeishiwa pumzi. Kipigo anachokipata kila siku si cha kitoto. Bahasha ya makombora anayopewa ndani ya saa 24 hayapungui makombora 6,500!!

Kwa sasa Zelensky anaibembeleza China isaidie kumshawishi Putin kufikia suluhisho la amani. Source: Aljazeera.

Zelenskyy urges China’s Xi to help end Russia’s war in Ukraine
Ukraine’s President Volodymyr Zelenskyy has appealed for direct talks with China’s Xi Jinping as he urged Beijing to use its political and economic influence on Russia to help end the war in his country.

Ukiona hivyo ujue maji yameshazidi unga, ukitilia maanani jinsi Zelensky alivyokuwa akitamba huku akivimbishwa kichwa na nchi za Magharibi!!
 

Russia-Ukraine live news: Several regions shelled by Moscow.​

  • The governors of Ukraine’s Mykolaiv, Kharkiv and Dnipropetrovsk say their regions were shelled overnight by Russian forces.
  • Zelenskyy has appealed for direct talks with China’s President Xi Jinping to help end Russia’s war in Ukraine. (Aljazeera-04/08/2022).
 
Silaha kama HIMARS haiwezi kuwa jibu wala kuwa effective kwa taifa kama Russia.

Ukraine itaumia tu, Yaani Russia nchi ya kwanza duniani kufika mwezini, nchi ya kwanza kurusha satellite 1953 eti leo hii lori lililobeba vi mizinga liwe tishio kwao 😂😂😂

Ushabiki na propaganda zingine hazina maaa.
 

Zelensky wants talks with China​

The Ukrainian president would like to “directly” speak with China’s President Xi Jinping, to talk him into pressuring Russia.
Ukrainian President Vladimir Zelensky said on Thursday he would like to speak “directly” with Chinese leader Xi Jinping, as he urged Beijing to use its economic and political leverage to stop the conflict in his country.

Hapo keshaona misaada ya silaha za marekani haiwezi kumzuia Putin!! Akili naona zinaanza kurudi kwa Zelensky japo kwa kuchelewa sana!!
 
Silaha kama HIMARS haiwezi kuwa jibu wala kuwa effective kwa taifa kama Russia.

Ukraine itaumia tu, Yaani Russia nchi ya kwanza duniani kufika mwezini, nchi ya kwanza kurusha satellite 1953 eti leo hii lori lililobeba vi mizinga liwe tishio kwao [emoji23][emoji23][emoji23]

Ushabiki na propaganda zingine hazina maaa.
Eti isuzu ya kubinua mchanga na kuutolea mbele ndo imsumbue urusi
 
Pro Russia mkiletewa habari mna ruka nayo tu bila hata kufikiria, Russia wamepigwa kamba hawasongi mbele,
Russia tukisema hana akili ujue hana uwezo wa kufikiri unarusha makombora 6400 na hata hayalengi target lakini mwenzake anatumia HIMARS anarusha hata 1000 yote ni target nani mwenye hasara.

Russia kapaniki anajirushia rushia makombora tu, mpaka achoke achakae wenzake wataongeza nguvu na siraha za maana.
 
Pro Russia mkiletewa habari mna ruka nayo tu bila hata kufikiria, Russia wamepigwa kamba hawasongi mbele,
Russia tukisema hana akili ujue hana uwezo wa kufikiri unarusha makombora 6400 na hata hayalengi target lakini mwenzake anatumia HIMARS anarusha hata 1000 yote ni target nani mwenye hasara.

Russia kapaniki anajirushia rushia makombora tu, mpaka achoke achakae wenzake wataongeza nguvu na siraha za maana.
Nakuonea huruma sana 🙀🙀🙀
 
Zile tambo za Zelensky kwamba hataki mazungumzo na Putin kwa kuwa atamshinda kwenye uwanja wa vita naona zimeishiwa pumzi. Kipigo anachokipata kila siku si cha kitoto. Bahasha ya makombora anayopewa ndani ya saa 24 hayapungui makombora 6,500!!

Kwa sasa Zelensky anaibembeleza China isaidie kumshawishi Putin kufikia suluhisho la amani. Source: Aljazeera.

Zelenskyy urges China’s Xi to help end Russia’s war in Ukraine
Ukraine’s President Volodymyr Zelenskyy has appealed for direct talks with China’s Xi Jinping as he urged Beijing to use its political and economic influence on Russia to help end the war in his country.

Ukiona hivyo ujue maji yameshazidi unga, ukitilia maanani jinsi Zelensky alivyokuwa akitamba huku akivimbishwa kichwa na nchi za Magharibi!!
Amuache mwenzake amalizane na Taiwan kwanza.
 

Zelensky wants talks with China​

The Ukrainian president would like to “directly” speak with China’s President Xi Jinping, to talk him into pressuring Russia.
Ukrainian President Vladimir Zelensky said on Thursday he would like to speak “directly” with Chinese leader Xi Jinping, as he urged Beijing to use its economic and political leverage to stop the conflict in his country.

Hapo keshaona misaada ya silaha za marekani haiwezi kumzuia Putin!! Akili naona zinaanza kurudi kwa Zelensky japo kwa kuchelewa sana!!
Ushauri wangu Urusi hisikubali kusikiliza ngonjera za Zelensky na wapambe wake, Urusi ifanye hima kwa kuhakikisha Zelensky na Serikali yake wanaondolewa madarakani unceremoniously na yeye akamatwe live na kuburuzwa kwenye war crime tribunal ajibu mashtaka ya kuua raia 14,000 kwenye majimbo ya mashariki mwa Ukraine ambayo wakazi wake wengi wana asili ya Urusi - Bravo Tzar Putin, watu wote wapenda amani Duniani tupo pamoja nawe katika harakati zako za kupambana na mataifa dhalimu ya kinyonyaji na uonezi,kujifanya wana hati miliki ya Dunia nzima ni kero kweli kweli-wakishindwa njama zao huko Ukraine ntafurahi kupindukia.
 
Ushauri wangu Urusi hisikubali kusikiliza ngonjera za Zelensky na wapambe wake, Urusi ifanye hima kwa kuhakikisha Zelensky na Serikali yake wanaondolewa madarakani unceremoniously na yeye akamatwe live na kuburuzwa kwenye war crime tribunal ajibu mashtaka ya kuua raia 14,000 kwenye majimbo ya mashariki mwa Ukraine ambayo wakazi wake wengi wana asili ya Urusi - Bravo Tzar Putin, watu wote wapenda amani Duniani tupo pamoja nawe katika harakati zako za kupambana na mataifa dhalimu ya kinyonyaji na uonezi,kujifanya wana hati miliki ya Dunia nzima ni kero kweli kweli-walishindwa njama zao huko Ukraine ntafurahi kupindukia.
Toka usingizini ni adhuhuli hii,!
 
Back
Top Bottom