Kipigo kimenyong'onyea: Zelensky aililia China isaidie kumaliza vita yake na Urusi

Ukraine walichagua raisi boya sana, kila kitu anachukulia kuwa ni commedy. Nchi imeumizwa na itachukua miaka kibao kufikia ustawi waliokuwa nao kabla ya vita. Watalipa madeni ya silaha kwa miaka mia.

Vv
 
nan alimvamia mwenzie ? je si alivizia ? maana alipotuhumiwa alisema anafanya mazoez , ss ulitaka Zelewinsky afanye nn kweny uvamiz wa kustukiza ?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Hawana Taasisi za kijasusi !? Mbona unachekesha
 
nan alimvamia mwenzie ? je si alivizia ? maana alipotuhumiwa alisema anafanya mazoez , ss ulitaka Zelewinsky afanye nn kweny uvamiz wa kustukiza ?
No way..... zelensky alianza Kwa kutaka kujiunga na NATO hiyo ndiyo source kuu ya vita. Unataka urusi apakanenna NATO. No Way na Ndio maana baada ya Ukraine, anafata Poland.


Utakuja kumsikia ujerumani akikaa kimya.

Belarus akipigana na Poland Lazima Russia angie
 
Silaha ambayo inaweza kumstopisha MRUSI ni NUCLEAR pekee,ila izo zingine ni kazi bure tu.ni swala la muda tu mkubwa atajulikana


 
Mtoa mada unaiongelea urusi gani wewe? iyo small operation Russia ndio ametaka iwe ivyo yani itembee mdogo mdogo atuna haraka sisi tunataka itembee ivyo ivyò kuna pro nato mwingine apa anasema sijui wanajeshi elf10 wanapewa mafunzo UK na wengine wanafundishwa kutumia latest nakupa hii chukua amna nchi ulaya wa la uyo USA atakayethubutu kutoa ndege zake ampe ukraine wanajua wenyewe watakachokipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…