Kipimo cha Kiongozi kisiasa ni midahalo

Kipimo cha Kiongozi kisiasa ni midahalo

Midahalo itaonesha uwezo wa kiongozi kujieleza kuzingatia anachoeleza na hadhira yake. Ila sasa je kuna sheria inayolazimisha mgombea kuhudhuria kwenye mdahalo hapa Tanzania wakati wa uchaguzi?
 
Bila midahalo uganga ni muhimu ili kupata kiongozi bora.

Musa wa Misahafu hakuwa na uwezo wa kujielezea. Mungu akampa Haruni. Uongozi ni uwezo wa kusimamia na kuwaunganisha wanao kusaidia kuifanyakazi hiyo kazi ya Uongozi ulioaminiwa. La muhimu usicheke na nyani tu.
 
Musa wa Misahafu hakuwa na uwezo wa kujielezea. Mungu akampa Haruni. Uongozi ni uwezo wa kusimamia na kuwaunganisha wanao kusaidia kuifanyakazi hiyo kazi ya Uongozi ulioaminiwa. La muhimu usicheke na nyani tu.
Kutoka Musa hadi wakati wa Eliya ilipita miaka mianne Mungubaba alikaa kimya,kumbuka uchaguzi ni kila baada ya miaka mitano,
 
Kama uongozi ni Karama, kile kigezo cha rais awe wangalau na degree ni cha nini? Hofu imekupata kwenye hili maana ccm chama cha majizi ya kura, unajua kitakuwa kwenye wakati mgumu. Mtu anataka kazi lakini hataki usaili?!
Uongozi sio somo la fasihi mpaka kuwekewa kigezo cha debate clubs. Uongozi ni karama itokayo kwa Mungu wa Mbinguni. Kama hiyo hunayo utaishia kuambatana na waganga na walozi tu. Tuliona hilo awamu flani ya uongozi hapo nyuma.
 
Kutoka Musa hadi wakati wa Eliya ilipita miaka mianne Mungubaba alikaa kimya,kumbuka uchaguzi ni kila baada ya miaka mitano,

Kiongozi mwenye Hekima na Akili hujua afanyekazi na watu gani? Wengine huziba mapungufu yake aliyo nayo kama Mwanadamu.
 
Kama uongozi ni Karama, kile kigezo cha rais awe wangalau na degree ni cha nini? Hofu imekupata kwenye hili maana ccm chama cha majizi ya kura, unajua kitakuwa kwenye wakati mgumu. Mtu anataka kazi lakini hataki usaili?!

Mbowe Rais wa Chadema na mgombea Urahisi JMT kipindi flani anayo degree ya fani ipi?
 
Back
Top Bottom