Mkuu gari inaogopwa kuliko nyumba, hamna uchawi pale, ni mambo ya hela tu, nyumba hata ya matope unajenga kwa laki tano tu fukayosi hukoulitaka jua wa TZ tuna roho mbaya fatilia makazini yaani mtu yuko radhi akuharibie kisa ameona unaanza ona mwanga wa maisha.
Ila analoWenye magari hapa tz wana stress sana! Yani mtu ana gari ila anaendesha kwa kujibana balaa, akifika tu kwenye foleni analizima eti mafuta.
Ona hii takatakaNyumba ni muhimu sana kama kijana wa kisasa kumiliki mjengo ni muhimu.
NakubaliNyumba inatembea ww? We tuulize sisi watembezi kama nyumba ina umuhimu, mimi nina nyumba mbili dar na dodoma, lakini sasa niko matimila huku songea hata sizitumii, ila niko na motokaa huku mwendo mdundo kitu cha toyota landcruiser Series 100, turbo peal white DUG 2006 nusu ya v8
Ukiwa na MBA na CPA (T) halafu huna gari unafitiwa vyeti...hongera MkuuUsikute nina elimu kubwa kuliko ww, CpAt, MBA, unazo wewe..usikute ni tarishi tu mahakama ya kata mbesa hapa ndio maana una akili za kifukara, tafuta gari hueshimike ndugu yangu, hamna aliezikwa kwa heshima bila kuwa na gari, mfano kanumba alikuwa na collection ya mandinga lakini mama yake nyumba tumemjengea sisi na michango yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwakweli gari lina raha yake ya nini kuteseka maisha yenyewe mafupi. Ukijimlisha na CoronaKwa dar es salaam ,hii ni kweli kabisa juzi nilitaka vunjwa kiuno sim2000, wakati napita dirishani kupanda daladala za kuelekea mbagala rangi3, Ilibidi jamaa mmoja anunue maji ya 500 yenye barafu anichuwe mbavu.
Pale makumbusho ndio unaweza kaa hata masaa 4 usiku ukisubiria daladala za kuelekea maeno fulani, kamaa sii ufukara mtu unanunua hata kapasso kakupigia route ndogo ndogo. Imagine mtu unashikilia bomba la daladala kuanzia makumbusho hadi gongo la mboto sio mchezo.
Siasa ni gari na gari ni siasa
Mkuu, pambana upate gari au nenda kajenge fukayosi huko maana najua na naamini huwezi kununua kiwanja posta au upanga kule we subiri viwanja vya kataUmasikinj mbaya sana.. Stress za Kushindwa kujenga umeanza liganisha Nyumba na gari tena ya 7M .. Ujinga Mbaya sana.
Wanakijiji hawaheshimu nyumba,kwa vile hata wenyewe wanazo,na wanajua mwenye gari uwezo wa kujenga anao,hajataka tu.Nenda na nyumba yako unfinished kwa wakwe ndo utajua kama wewe ni pombe kwa kiasi gani, ila simamisha mkwaju pale hata kama ni kama ni demio namba TzB uone shangwe zake
Daaah, pole sana umeongea kwa masikitiko mkuu. Usafiri na Internet nadhani zatakiwa ziwekwe kwenye lile kundi la basic needsKwa dar es salaam ,hii ni kweli kabisa juzi nilitaka vunjwa kiuno sim2000, wakati napita dirishani kupanda daladala za kuelekea mbagala rangi3, Ilibidi jamaa mmoja anunue maji ya 500 yenye barafu anichuwe mbavu.
Pale makumbusho ndio unaweza kaa hata masaa 4 usiku ukisubiria daladala za kuelekea maeno fulani, kamaa sii ufukara mtu unanunua hata kapasso kakupigia route ndogo ndogo. Imagine mtu unashikilia bomba la daladala kuanzia makumbusho hadi gongo la mboto sio mchezo.
Kwa vijana msiojielewa..siku hizi nakaa vikao na wazee wanakununulia bia na mkishawaka wanakwambia dogo natamani ungekua mwanangu umewahi sana shtuka...ogopa sana kijana chini ya 35 unapewa uzee wa kanisaHapo sana sana gari ndo litakutambulisha kuliko hilo pagale lako la fukayosi
Picha tasavali.Nyumba inatembea ww? We tuulize sisi watembezi kama nyumba ina umuhimu, mimi nina nyumba mbili dar na dodoma, lakini sasa niko matimila huku songea hata sizitumii, ila niko na motokaa huku mwendo mdundo kitu cha toyota landcruiser Series 100, turbo peal white DUG 2006 nusu ya v8
Sasa unavyoona wewe hiyo ni akili?Usikute nina elimu kubwa kuliko ww, CpAt, MBA, unazo wewe..usikute ni tarishi tu mahakama ya kata mbesa hapa ndio maana una akili za kifukara, tafuta gari hueshimike ndugu yangu, hamna aliezikwa kwa heshima bila kuwa na gari, mfano kanumba alikuwa na collection ya mandinga lakini mama yake nyumba tumemjengea sisi na michango yetu
Kwa kuwaona hao watu wawili kama 'role model' nimefahamu u mtu wa aina gani.Pambana, mange kimambi na lemutuz hawana nyumba ila wana magari tu, na wanaongoza kwa kuwa na furaha nadhani kuliko hata kiumbe chochote hapa duniani.
AiseeSubiri kuilaumu serikali na kuhesabu Tanzia ,
Sibishani na mtu yeyote asiyesoma shule vipaji maalumu, yan kiufupi mimi sio level yako