Kipimo cha maendeleo ni kuwa na gari

Kipimo cha maendeleo ni kuwa na gari

Nyumba inatembea ww? We tuulize sisi watembezi kama nyumba ina umuhimu, mimi nina nyumba mbili dar na dodoma, lakini sasa niko matimila huku songea hata sizitumii, ila niko na motokaa huku mwendo mdundo kitu cha toyota landcruiser Series 100, turbo peal white DUG 2006 nusu ya v8
Nakubali
 
Usikute nina elimu kubwa kuliko ww, CpAt, MBA, unazo wewe..usikute ni tarishi tu mahakama ya kata mbesa hapa ndio maana una akili za kifukara, tafuta gari hueshimike ndugu yangu, hamna aliezikwa kwa heshima bila kuwa na gari, mfano kanumba alikuwa na collection ya mandinga lakini mama yake nyumba tumemjengea sisi na michango yetu
Ukiwa na MBA na CPA (T) halafu huna gari unafitiwa vyeti...hongera Mkuu
 
Umasikinj mbaya sana.. Stress za Kushindwa kujenga umeanza liganisha Nyumba na gari tena ya 7M .. Ujinga Mbaya sana.
 
Kwa dar es salaam ,hii ni kweli kabisa juzi nilitaka vunjwa kiuno sim2000, wakati napita dirishani kupanda daladala za kuelekea mbagala rangi3, Ilibidi jamaa mmoja anunue maji ya 500 yenye barafu anichuwe mbavu.

Pale makumbusho ndio unaweza kaa hata masaa 4 usiku ukisubiria daladala za kuelekea maeno fulani, kamaa sii ufukara mtu unanunua hata kapasso kakupigia route ndogo ndogo. Imagine mtu unashikilia bomba la daladala kuanzia makumbusho hadi gongo la mboto sio mchezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwakweli gari lina raha yake ya nini kuteseka maisha yenyewe mafupi. Ukijimlisha na Corona
 
Siasa ni gari na gari ni siasa
Umasikinj mbaya sana.. Stress za Kushindwa kujenga umeanza liganisha Nyumba na gari tena ya 7M .. Ujinga Mbaya sana.
Mkuu, pambana upate gari au nenda kajenge fukayosi huko maana najua na naamini huwezi kununua kiwanja posta au upanga kule we subiri viwanja vya kata
 
Nenda na nyumba yako unfinished kwa wakwe ndo utajua kama wewe ni pombe kwa kiasi gani, ila simamisha mkwaju pale hata kama ni kama ni demio namba TzB uone shangwe zake
Wanakijiji hawaheshimu nyumba,kwa vile hata wenyewe wanazo,na wanajua mwenye gari uwezo wa kujenga anao,hajataka tu.
 
Kwa dar es salaam ,hii ni kweli kabisa juzi nilitaka vunjwa kiuno sim2000, wakati napita dirishani kupanda daladala za kuelekea mbagala rangi3, Ilibidi jamaa mmoja anunue maji ya 500 yenye barafu anichuwe mbavu.

Pale makumbusho ndio unaweza kaa hata masaa 4 usiku ukisubiria daladala za kuelekea maeno fulani, kamaa sii ufukara mtu unanunua hata kapasso kakupigia route ndogo ndogo. Imagine mtu unashikilia bomba la daladala kuanzia makumbusho hadi gongo la mboto sio mchezo.
Daaah, pole sana umeongea kwa masikitiko mkuu. Usafiri na Internet nadhani zatakiwa ziwekwe kwenye lile kundi la basic needs

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 
Nyumba inatembea ww? We tuulize sisi watembezi kama nyumba ina umuhimu, mimi nina nyumba mbili dar na dodoma, lakini sasa niko matimila huku songea hata sizitumii, ila niko na motokaa huku mwendo mdundo kitu cha toyota landcruiser Series 100, turbo peal white DUG 2006 nusu ya v8
Picha tasavali.
 
Usikute nina elimu kubwa kuliko ww, CpAt, MBA, unazo wewe..usikute ni tarishi tu mahakama ya kata mbesa hapa ndio maana una akili za kifukara, tafuta gari hueshimike ndugu yangu, hamna aliezikwa kwa heshima bila kuwa na gari, mfano kanumba alikuwa na collection ya mandinga lakini mama yake nyumba tumemjengea sisi na michango yetu
Sasa unavyoona wewe hiyo ni akili?
 
Pambana, mange kimambi na lemutuz hawana nyumba ila wana magari tu, na wanaongoza kwa kuwa na furaha nadhani kuliko hata kiumbe chochote hapa duniani.
Kwa kuwaona hao watu wawili kama 'role model' nimefahamu u mtu wa aina gani.
Upuuzwe.
 
Kwa kuwaona hao watu wawili kama 'role model' nimefahamu u mtu wa aina gani.
Upuuzwe.
Subiri kuilaumu serikali na kuhesabu Tanzia ,
Sibishani na mtu yeyote asiyesoma shule vipaji maalumu, yan kiufupi mimi sio level yako
 
Back
Top Bottom