Kipimo cha ubora wa dini ni namna unavyoweza kuishi na wanaoamini dini tofauti na yako. Kama jirani yako anaabudu ng'ombe na hakubagui wala kukunyanyasa wewe unayemuabudu Jehova au Allah hakika huyo ni jirani mwema na bora zaidi ya wale wanaohubiri amani na upendo huku wanalazimisha sheria za dini zao uzifuate, kukuvizia na mapanga, n.k.
NCHI ZILIZOJAA WAKRISTO
Kwa nchi zilizojaa wakristo ni ngumu kukuta nchi inajiita dola ya kikristo kwasababu wanathamini uwepo wa dini zingine tofauti na ukristo, Muislam ataabudu dini yake, wahindi wataabudu dini zao, n.k. Mfano ni hapa Tanzania bara, Ni nchi iliyojaa wakristo kwenye makabila yenye watu wengi na sehemu kubwa ya vijijini ni wakristo lakini ukristo unaishi vizuri kabisa na watu wa imani zingine.
Kwa mifano ya hapa Afrika asilimia kubwa ya nchi zinazoongoza kwa amani zimejaa wakristo mfano Ghana, Zambia, Malawi, Tanzania, Botswana, n.k. ni kwasababu kuna hali ya uvumilivu wa kuweza kuishi na imani zingine
NCHI ZILIZOJAA WAHINDU
Ukienda India kuna ubaguzi wa dini, Wakristo wamekuwa wahanga wakubwa wa mauaji, makanisa kubomolewa, vifungo, ni marufuku kufanya mahubiri ya kuwabadilisha watu imani, n.k. Waislam wana idadi ya waumini milioni 200 nchini India lakini wanapitia unyanyasaji na ubaguzi wa dini, Si sehemu salama kwa wakristo na waislam kuishi.
NCHI ZILIZOJAA WAISLAM
Uhuru wa imani ni muhimu, Kuna nchi kama Dubai U.A.E zimekuwa nchi za kuigwa na zimepiga hatua kubwa kwenye maendeleo kwasababu waliamua kuachana na mirengo ya itikadi kali za kidini. makanisa yanajengwa wakrusto wanaenda kusali, wakristo wanapiga kitimoto kwa uhuru, hakuna kulazimishwa kufunga mfungo wa Ramadan, n.k.
Lakini bado nchi nyingi zilizojaa waislam ni mwiba kwa waumini wa dini zingine, Kuna manyanyaso na ubaguzi wa kidini hasa kwa wakristo, mfano kulazimisha wakristo wasile kipindi cha mfungo, Kutoruhusu ujenzi wa makanisa, kutoruhusu vyakula na vinywaji vya wakristo, Uwepo wa vikundi vinavyowinda wakristo, Kukataza kusoma biblia hadharani, n.k.
NCHI ZILIZOJAA WAKRISTO
Kwa nchi zilizojaa wakristo ni ngumu kukuta nchi inajiita dola ya kikristo kwasababu wanathamini uwepo wa dini zingine tofauti na ukristo, Muislam ataabudu dini yake, wahindi wataabudu dini zao, n.k. Mfano ni hapa Tanzania bara, Ni nchi iliyojaa wakristo kwenye makabila yenye watu wengi na sehemu kubwa ya vijijini ni wakristo lakini ukristo unaishi vizuri kabisa na watu wa imani zingine.
Kwa mifano ya hapa Afrika asilimia kubwa ya nchi zinazoongoza kwa amani zimejaa wakristo mfano Ghana, Zambia, Malawi, Tanzania, Botswana, n.k. ni kwasababu kuna hali ya uvumilivu wa kuweza kuishi na imani zingine
NCHI ZILIZOJAA WAHINDU
Ukienda India kuna ubaguzi wa dini, Wakristo wamekuwa wahanga wakubwa wa mauaji, makanisa kubomolewa, vifungo, ni marufuku kufanya mahubiri ya kuwabadilisha watu imani, n.k. Waislam wana idadi ya waumini milioni 200 nchini India lakini wanapitia unyanyasaji na ubaguzi wa dini, Si sehemu salama kwa wakristo na waislam kuishi.
NCHI ZILIZOJAA WAISLAM
Uhuru wa imani ni muhimu, Kuna nchi kama Dubai U.A.E zimekuwa nchi za kuigwa na zimepiga hatua kubwa kwenye maendeleo kwasababu waliamua kuachana na mirengo ya itikadi kali za kidini. makanisa yanajengwa wakrusto wanaenda kusali, wakristo wanapiga kitimoto kwa uhuru, hakuna kulazimishwa kufunga mfungo wa Ramadan, n.k.
Lakini bado nchi nyingi zilizojaa waislam ni mwiba kwa waumini wa dini zingine, Kuna manyanyaso na ubaguzi wa kidini hasa kwa wakristo, mfano kulazimisha wakristo wasile kipindi cha mfungo, Kutoruhusu ujenzi wa makanisa, kutoruhusu vyakula na vinywaji vya wakristo, Uwepo wa vikundi vinavyowinda wakristo, Kukataza kusoma biblia hadharani, n.k.