Kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM ni makelele tu wanapiga, hakuna Content yoyote

Kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM ni makelele tu wanapiga, hakuna Content yoyote

Hivi wakuu mnaosikiliza Wasafi FM asubuhi mnawaelewa kweli? Kuna kitu kipya mnagain pale? Wale jamaa muda wote ni kuchekacheka tu, kubishana, kupandiana wakati wa kuongea kiasi hakuna maelewano! Kila mtu mjuaji pale.
We ndo umejua Leo. Pale Hamna kitu ukimtoa Charles William wengine wote ni mbungila mbungila wanatangaza Ujinga.

Nashukuru clouds wamekua wameacha matakataka. EFM na WASAFI Badoo sana
 
Hivi wakuu mnaosikiliza Wasafi FM asubuhi mnawaelewa kweli? Kuna kitu kipya mnagain pale? Wale jamaa muda wote ni kuchekacheka tu, kubishana, kupandiana wakati wa kuongea kiasi hakuna maelewano! Kila mtu mjuaji pale.
Mkuu kama hauwaelewi zima tu redio.
Nikama jf kama hauelewi kitu una log off
 
Hivi wakuu mnaosikiliza Wasafi FM asubuhi mnawaelewa kweli? Kuna kitu kipya mnagain pale? Wale jamaa muda wote ni kuchekacheka tu, kubishana, kupandiana wakati wa kuongea kiasi hakuna maelewano! Kila mtu mjuaji pale.
Huwez kuwa na lengo la kujifunza Kwa kusikiliza redio kama wasafi. You cant be serious
 
REDIO NI NYINGI MKUU, CHA AJABU REDIO YENYE MAKELELE NDO INAONGOZWA KWA KUSIKILIZWA SIO MITAANI, KWENYE MADALADALA, MA SALOON,MASOKONI N. K
 
Maudhui ya radio mara nyingi yanendana na wasikilizaji ,itakua wamefanya research wakajua wasikilizaji wao wanapenda habari nyepesi.
 
Watanzania si mnapenda makelele
Maneno maneno mengi,mkisikia hivyo
Mnaburudika
Hammond watu wanao piga kelele,kuongea sana ndiyo mnawapa
Umaarufu mpaka mnawapeleka bungeni
Acha mpigiwe kelele tu

Ova
 
Hivi wakuu mnaosikiliza Wasafi FM asubuhi mnawaelewa kweli? Kuna kitu kipya mnagain pale? Wale jamaa muda wote ni kuchekacheka tu, kubishana, kupandiana wakati wa kuongea kiasi hakuna maelewano! Kila mtu mjuaji pale.
Ungeweka clip kidogo hapa
 
Radio sijui mara ya mwisho nimesikiliza lini. Radio vipindi vyao kwa sasa ni kelele na umbea hakuna cha muhimu wanachofanya cowards
 
Radio inayoendeshwa kwa ushindani na ujuaji mwingi hawawez wanawake na content hata siku moja!
 
Back
Top Bottom