wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 25,190 Reaction score 27,434 Jun 19, 2023 #21 BARD AI said: Hivi wakuu mnaosikiliza Wasafi FM asubuhi mnawaelewa kweli? Kuna kitu kipya mnagain pale? Wale jamaa muda wote ni kuchekacheka tu, kubishana, kupandiana wakati wa kuongea kiasi hakuna maelewano! Kila mtu mjuaji pale. Click to expand... Sisi tunaoishi huku ibinu miono hiyo station haishiki kwani hao wapiga kelele hawana majina angalau tujue hata kwa kuwaona mtandaoni?
BARD AI said: Hivi wakuu mnaosikiliza Wasafi FM asubuhi mnawaelewa kweli? Kuna kitu kipya mnagain pale? Wale jamaa muda wote ni kuchekacheka tu, kubishana, kupandiana wakati wa kuongea kiasi hakuna maelewano! Kila mtu mjuaji pale. Click to expand... Sisi tunaoishi huku ibinu miono hiyo station haishiki kwani hao wapiga kelele hawana majina angalau tujue hata kwa kuwaona mtandaoni?