Mara baada ya mama kuingia madarakani aliweka mazungira ya siasa vizuri mana kuna watu wangekufa kwa kukosa mkate wa kila siku.
Ikumbukwe siasa ni ajira ila ajira hiyo jpm aliiondoa huku akijua hakuna mbadala wa ajira hiyo as a result akaongeza mrundikano wa wahitimu myaani hence unemployment rate kukua.
Thanks to mama kwa king'arisha Tanzania.
Michezo ni ajira na mama ameiprimote kwelikweli mpaka tanzania imekuwa kimbilio la michezo hasa mpira ila wapumbavu wanaona mama kutoa mil 700 eti angetoa kwa watu waliokufa tayari.
Mama atawahenyesha kwelikweli mana ni political scientIst.
Ikumbukwe siasa ni ajira ila ajira hiyo jpm aliiondoa huku akijua hakuna mbadala wa ajira hiyo as a result akaongeza mrundikano wa wahitimu myaani hence unemployment rate kukua.
Thanks to mama kwa king'arisha Tanzania.
Michezo ni ajira na mama ameiprimote kwelikweli mpaka tanzania imekuwa kimbilio la michezo hasa mpira ila wapumbavu wanaona mama kutoa mil 700 eti angetoa kwa watu waliokufa tayari.
Mama atawahenyesha kwelikweli mana ni political scientIst.