Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Sawa"Producer" ndio anaandaa kipindi...mtangazaji kazi yake ni kusoma "script" tu
Niliposikia kuwa na yule Bwabwa yuko kwenye Jahazi, nilijiambia kuwa sintofungua tena Clouds FM kusikiliza hicho kipindi. Sipendi mashogaMzuka,
Nasikiliza Jahazi mda huu lakini sijui hawa jamaa na kipindi chao wanatangaza nini,
Mchomvu kweli ni changamoto vitu anavyoongea hadi wenzake wanapata shida.
Mzuka,
Nasikiliza Jahazi mda huu lakini sijui hawa jamaa na kipindi chao wanatangaza nini,
Mchomvu kweli ni changamoto vitu anavyoongea hadi wenzake wanapata shida.
ndo nani?Niliposikia kuwa na yule Bwabwa yuko kwenye Jahazi, nilijiambia kuwa sintofungua tena Clouds FM kusikiliza hicho kipindi. Sipendi mashoga
Mkuu nani ,huyoNiliposikia kuwa na yule Bwabwa yuko kwenye Jahazi, nilijiambia kuwa sintofungua tena Clouds FM kusikiliza hicho kipindi. Sipendi mashoga
Yule kuna kipindi alihama redio kwenda redio nyingine inayomilikiwa na Bwana wake. Halafu akarejea tena hukundo nani?
Aise!!! Washikaji wanakaba kama kawaidaYule kuna kipindi alihama redio kwenda redio nyingine inayomilikiwa na Bwana wake. Halafu akarejea tena huku
Kumbe ni kweliii🤣Yule kuna kipindi alihama redio kwenda redio nyingine inayomilikiwa na Bwana wake. Halafu akarejea tena huku
Ubatangaza marehemu wafufuke watangaze uridhike amaMzuka,
Nasikiliza Jahazi mda huu lakini sijui hawa jamaa na kipindi chao wanatangaza nini,
Mchomvu kweli ni changamoto vitu anavyoongea hadi wenzake wanapata shida.
Embu dadavua mkuu. Ninaona una madini lakini umeandika kifupi sana."Producer" ndio anaandaa kipindi...mtangazaji kazi yake ni kusoma "script" tu
hivi huwa ni mabwabwa kweli au huwa mnapakazia watu tabia mbaya?Niliposikia kuwa na yule Bwabwa yuko kwenye Jahazi, nilijiambia kuwa sintofungua tena Clouds FM kusikiliza hicho kipindi. Sipendi mashoga
Mawingu ni ubwabwani na kilabuni, sijui kama walishabadilika. Ni tuhuma za siku nyingi na uzito mkubwa.hivi huwa ni mabwabwa kweli au huwa mnapakazia watu tabia mbaya?
huyo anayemsemea bwabwa ni kumi na mbili au ni mawenge yangu tu?hivi huwa ni mabwabwa kweli au huwa mnapakazia watu tabia mbaya?