Jk alikua na mipango ya kutengeza ajira delta binafsi kwa kutengeza middle class wengi,akaja yule akavuruga kila kituNi wakati huo, hata kama JK angekuwa madarakani mpaka Leo na yeye asingeweza kuajiri wahitimu wote. Tubadili tu mfumo wa elimu yetu. Ila wazazi na sisi tujiongeze hususasi sisi ngozi nyeusi haiwezekani umsomeshe mtoto Kwa mamilioni ya pesa alafu eti mtoto amalize chuo kikuu then akajitolee sehemu miaka na miaka akisubiri ajira ya Serikali. Tujiongeze
Sikatai lakini pia na yeye angefikia Kokomo. Unawahitimu zaidi ya laki moja Kwa mwaka then Pato lako la taifa karibia 70% linalipa Deni la taifa na mishahara na posho Kwa watumishi alafu uwe na uthubu wa kuajiri kama mnavyofikiriaJk alikua na mipango ya kutengeza ajira delta binafsi kwa kutengeza middle class wengi,akaja yule akavuruga kila kitu
Serikali ikiajiri vile inavyopaswa,wasomi hawatoshi..lakini uchumi ule wa jk ungeendelea ungetengeneza ajira nyingi sanaSikatai lakini pia na yeye angefikia Kokomo. Unawahitimu zaidi ya laki moja Kwa mwaka then Pato lako la taifa karibia 70% linalipa Deni la taifa na mishahara na posho Kwa watumishi alafu uwe na uthubu wa kuajiri kama mnavyofikiria
Ni wachache sana wanaoweza kuelewa hili mkuu.Jk alikua na mipango ya kutengeza ajira delta binafsi kwa kutengeza middle class wengi,akaja yule akavuruga kila kitu
Mama na JPM wote wale wale tu.Jk tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena...
Ule ulikuwa uchumi feki, lazima tungekuja kugota sehemuSerikali ikiajiri vile inavyopaswa,wasomi hawatoshi..lakini uchumi ule wa jk ungeendelea ungetengeneza ajira nyingi sana
Tukisema tuajiri kama ikama inavyotaka mf mwalimu mmoja afundishe wanafunzi kadhaa, daktari mmoja ahudumie wagonjwa kadhaa hatutafanya maendeleo.Serikali ikiajiri vile inavyopaswa,wasomi hawatoshi..lakini uchumi ule wa jk ungeendelea ungetengeneza ajira nyingi sana
Uchumi feki nchi ikijengeka kila kona,nagari ikawa kawida kwa watanzania, GDP ikapaa,wakulima wakaishi maisha mazuri,miundombinu ikajengwa,fdi ikamiminika...acha ujinga babuHahahaha ulikuwa uchumi feki.
Maendeleo no nini kwako!?Tukisema tuajiri kama ikama inavyotaka mf mwalimu mmoja afundishe wanafunzi kadhaa, daktari mmoja ahudumie wagonjwa kadhaa hatutafanya maendeleo.
Najua akili yako inakutuma maendeleo ya watu na sio vitu. Lakini maendeleo ya miundombinu nk ni muhimu Sana Kwa hayo maendeleo ya watuMaendeleo no nini kwako!?