Kipindi cha Mzee Kikwete hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari akakosa ajira. Wote walikuwa wanapangiwa tena unachagua pa kwenda


Ila kwa Sasa ni wote.
 
Watu wajinga tu ndio wanasema JPM alikuwa rais feki

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo unataka hii nchi tuwe maskini milele na milele? Tukitaka kujikwamua from wakulima to wafanyakazi inakukera sana kwa sababu unapenda umaskini tu!!
 
Acheni kupotoshana. Ajira za ualimu zilianza kuwa shida mwaka 2015. Rejeeni ajira za ualimu mwaka 2015 kama arts waliajiriwa wote. Mwaka huo 2015 ndiyo pia ulikuwa mwaka wa kwanza kwa walimu wa arts kuajiriwa s/msingi. Na ilitajwa kuwa walimu wamejaa shule za sekondari.

Ndiyo maana hata Magufuli alipoanza kuajiri 2016 aliajiri wanasayansi na kiingereza pekee.
 
Mtoa maada naye kama hajielewi. Enzi za JK wahitimu walikuwa kiasi gani na sasa hivi wapo kiasi gani?
 
Alichokuwa anafanya JK ni kuhakikisha watu wanaishia dalasa ya saba au wanafeli form 4, sasa hivi wanaohitimu ni wengi mno na serikali haiwezi ajili wote,
ndio maana wanajaa mitaani
 
Binafsi namshukuru jk kwa kuwa kipindi kile niliweaza kupata ajira ilihali ni mtoto wa kimaskini tu,siku hizi ili uajiriwe ni lazima uwajue watu
 
Uchumi feki nchi ikijengeka kila kona,nagari ikawa kawida kwa watanzania, GDP ikapaa,wakulima wakaishi maisha mazuri,miundombinu ikajengwa,fdi ikamiminika...acha ujinga babu
Sasa mkuu Kama JK alifanya yote haya kwanini watu hawakumpa maua yake? Wakaishia kumtukana matusi na kumdhalilisha kwa maneno ya kejeli.
 
Sasa mkuu Kama JK alifanya yote haya kwanini watu hawakumpa maua yake? Wakaishia kumtukana matusi na kumdhalilisha kwa maneno ya kejeli.
Huwezi pendwa na wote. Sisi tuliomaliza enzi zake ndo tunamjua. Waliokuwa wanamtukana ni vijana wa juzi tu hawamjui vizuri.
 
Hata usalama.wa taifa alianiri wasukuma tu. Mfano ni jamaa anaitwa Florian nzangizyo
Kwahiyo huyo msukuma mmoja ndio sample ya ukabila?Rafiki yangu ni mchaga alipata ajira 2019
 
Kipindi cha nyerere walikuwa wanatafutwa miezi kabla ya kumaliza shule na wanapangiwa pa kwenda. Hizo nyakati za nyerere, mwinyi, mkapa, kikwete, na magufuli zimepita. Hiyo ilikuwa zamani
 
Ni kweli miaka mitano ya jiwe hakukua na ajira?
 
Kipindi cha nyerere walikuwa wanatafutwa miezi kabla ya kumaliza shule na wanapangiwa pa kwenda. Hizo nyakati za nyerere, mwinyi, mkapa, kikwete, na magufuli zimepita. Hiyo ilikuwa zamani
Mipango tu mdogo wangu. Ukiwa na mipango poor lazima nchi ikushinde kama jpm ambaye jeshi lingempindua soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…