the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Wakuu nimekaa nikakumbuka miaka hiyo kipindi cha SITOSAHAU cha RFA. Ilikuwa ikifika hiyo mida ni kukaa karibu na redio mfano wakati wa simulizi ya Gamboshi 😂 asee?
Wahenga kipindi kipi mnakumbuka? Au ulikuwa ukikipenda?
Wahenga kipindi kipi mnakumbuka? Au ulikuwa ukikipenda?