secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Energy manThink ni marehemu Fredwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Energy manThink ni marehemu Fredwaa
Naam!Ndiyo Sahara media group sio?
Mwamba utukutu damuni😂Hahahaha.....
Me nakumbuka nimechapwa sana kuharibu kanda za radio kurekodi vipindi na nyimbo
Sema zina struggle now daysNaam!
Watangazaji wale wale kuanzia asubuhi hadi usiku mbovu ndo maana wanakufa kwa USONGO.Sema zina struggle now days
Huzuni sanaWatangazaji wale wale kuanzia asubuhi hadi usiku mbovu ndo maana
wanakufa kwa USONGO.
Ahmed Ali, Ben mwanantala, mayco Noel, Rebeka Mulesi, sports lady Fatum gafus ambaye NI marehemu, Yusuf magasha, Dickson mpilipili, Maregesi Nyamaka , Gwamaka Francis bila kusahau Nasoro Dimoso.Kipindi cha mchezo ambalo kulikuwa na David Azaria, Jackson Nyamsuka, Deokaji Makomba, Hasan Mvula, bila kusahau Steve Moyo Mchongi ambaye alikuwa aninikosha sana pale anapotusomea msimamo wa ligikuu Tanzania bara.
RIP Steve Moyo.
Legend 🔥Ahmed Ali, Ben mwanantala, mayco Noel, Rebeka Mulesi, sports lady Fatum gafus ambaye NI marehemu, Yusuf magasha, Dickson mpilipili, Maregesi Nyamaka , Gwamaka Francis bila kusahau Nasoro Dimoso.
Ila hawa wa siku hizi wamechuja sana, huwezi kuwafananisha na akiona Deokaji Makomba mtu mwenye sauti nzito ambaye kwa sasa hivi ni ripota wa DW kutoka Dodoma.Ahmed Ali, Ben mwanantala, mayco Noel, Rebeka Mulesi, sports lady Fatum gafus ambaye NI marehemu, Yusuf magasha, Dickson mpilipili, Maregesi Nyamaka , Gwamaka Francis bila kusahau Nasoro Dimoso.
Je wajua nilikua nakikubali sana, na sitasahau ila ubaya sitasahau kilikua muda wa kwenda kanisani nikitega nilikua nasikilizaKIPINDI Cha search line", na " je wajua?"
Icho cha fred kilikua sindano tatu za moto●Usiku wa mahaba
●Sintosahau
●Kuna show ya Fredwaa kuna dogo alikua anacheka sana kama jingle nimesahau
●Kulikua na show ya reggae
●Easy Sunday
●The weekend top 40 na kulikua kuna top 100
Hopefully sijachanganya madesa..... good not so old times when radio was a real deal
Hiki cha "sitasahau" watu walikua wanasimama barabarani kusikiliza kama njia moja ya kupumzika maana boda ya zamani ni miguu●Usiku wa mahaba
●Sintosahau
●Kuna show ya Fredwaa kuna dogo alikua anacheka sana kama jingle nimesahau
●Kulikua na show ya reggae
●Easy Sunday
●The weekend top 40 na kulikua kuna top 100
Hopefully sijachanganya madesa..... good not so old times when radio was a real deal
Hao kina malegesi sio wa siku hizi kweli?hata mimi namkumbuka Deokaji Makomba jamaa ana sauti la kipekee.Ila hawa wa siku hizi wamechuja sana, huwezi kuwafananisha na akiona Deokaji Makomba mtu mwenye sauti nzito ambaye kwa sasa hivi ni ripota wa DW kutoka Dodoma.
Ni vodacom Burudani zaidi ndani yake ndio kulikuwa na session ya Sindano 5 za moto.Icho cha fred kilikua sindano tatu za moto
Hahahaha kile kicheko ni hatari
Maregesi ni wa siku hizi, Deokaji na akiona Jackson pajo nyamsuka, Deokaji makomba pamoja na yusuf magasha ni wa kitambo kidogHao kina malegesi sio wa siku hizi kweli?hata mimi namkumbuka Deokaji Makomba jamaa ana sauti la kipekee.