KWENYE PESA HAKUNA ADUI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 225
- 349
Shikamoo muda!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mwamba alikua anakitendea sana hiki kipindi aisee sikumbuki alikua anaitwa Nani.Ewaa nlikua napenda sana hii... sikosiiiiii
Redio yao ht usiponyoosha anten utainasa tuWale walikuwa siyo poa mzee wangu
Social media imeondoa ladha ya haya mambo....Kabla ya zama za TikTok hazijatia miguu😂
Think ni marehemu FredwaaYule mwamba alikua anakitendea sana hiki kipindi aisee sikumbuki alikua anaitwa Nani.
Kiss fm ni tawi la RFAKidogo radio one na Kiss fm... sababu nilipokua nlikua napenda sana lunch time ya radio one zile slow jams...
Plus Kissfm nlikua napenda ule umombo wao by then....
Nlivofika mjini daslam ndo kukutana na akia East Africa radio na wenzie
Ohoo okey... sikuwahi jua, ila zilinilia sana muda (RFA, radio one na Kiss fm)Kiss fm ni tawi la RFA
Enzi hizo nlikuwa naanika betri Juani eti zijichaji😂ili kuhakikisha hamna kipindi kinanipitaSocial media imeondoa ladha ya haya mambo....
Sababu utamu ulikua upo kwenye kusubiri kipindi, ukipitwa umepita so unakua na shauku muda wote
Mr energyThink ni marehemu Fredwaa
Enzi hizo nlikuwa naanika betri Juani eti zijichaji😂ili kuhakikisha hamna kipindi kinanipitaSocial media imeondoa ladha ya haya mambo....
Sababu utamu ulikua upo kwenye kusubiri kipindi, ukipitwa umepita so unakua na shauku muda wote
Ndiyo Sahara media group sio?Kiss fm ni tawi la RFA
Alizingua sana kwenda mawingu fmThink ni marehemu Fredwaa
Alikuwa anatangaza fredwaa. Noma sana.Je huu ni uungwana? La hasha huu si uugwana.
Hahahaha.....Enzi hizo nlikuwa naanika betri Juani eti zijichaji😂ili kuhakikisha hamna kipindi kinanipita
Yeah n hap unazungmzia star tv,rfa n kiss fmNdiyo Sahara media group sio?
Sio poa mkuu..Ilikuwa 🔥